Kwel kabisa hawa sio..mim nilinunua mb 500 net ikasumbua sikufanikiwa kufany lolote..kesho yake vodacom wakanilipa mb 100 za usumbufu wa jana..hawa ni jipu
Hey tv inaweza kuwa na maana nyingin labd umbea au kumwonyesha picha ya kitu...hicho si kitu kikubwa kwa ushauri wa hapa mtaachana..wadad kuitana wapenz ni kawaida...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.