Recent content by chembamba

  1. C

    Vodacom ni wezi wa bundle za wateja?

    Kwel kabisa hawa sio..mim nilinunua mb 500 net ikasumbua sikufanikiwa kufany lolote..kesho yake vodacom wakanilipa mb 100 za usumbufu wa jana..hawa ni jipu
  2. C

    Fahamu zaidi kuhusu kinga ya Ukimwi iitwayo PEP

    Vipi ukisahau kumeza dawa ukiwa kwenye treatment...(PEP)
  3. C

    Kwanini wanawake wengi hawaolewi?

    Wanaume wengi hawaoi sijajua tatizo nin
  4. C

    Natafuta mwanamke wa kumuoa kwa ndoa, lakini awe tayari kunitafutia kazi, kunilipia ada

    Wanaume wanapungua..unataka kuolewa duuuu
  5. C

    Sweet Revenge: Ingawa ulikuwa ni ujinga, ila sijutii

    Jaziri haachi asili yake man
  6. C

    Ushauri: Nipo njiapanda

    Hey tv inaweza kuwa na maana nyingin labd umbea au kumwonyesha picha ya kitu...hicho si kitu kikubwa kwa ushauri wa hapa mtaachana..wadad kuitana wapenz ni kawaida...
  7. C

    Kila nikiulizia jibu langu, yeye anaomba pesa

    Hakupendi jiongeze,,anakukatisha tamaa lakin unaonekan mgumu...mpe hela wee mpe nyingi...
  8. C

    Maandamano (nyomi) ya kutisha yaliyowahi kutokea

    Hahahahahahah edo ana nyota kali...ccm wakaoge maji ya magadi hihihihihihihih.mh.Raisi Edward Lowasa
  9. C

    Kipi kinapendwa na wanawake mbali na Status?

    Mapenzi hayana mwenyewe na hayatabiriki..hata uwe na lulu kam hupendwi hupendwi tu.mapenzi yatoka moyoni tu
  10. C

    Nimeamua kuchukua maamuzi magumu, kuweka wazi kila kitu

    Hajahahahah kulipa kisasi kunasaidia san kupoza maumivu japo ni zambi
  11. C

    Zari na Diamond wapata mtoto wa kike (Latiffah Naseeb Abdul)

    Mwachen le akili kubwa atawapostia picha za super mutindizi kutoka asas iringa hahahahahahahahaha mazafanta amaizing
  12. C

    Wasichana hamjitambui

    Mapenzi upofu,unaweza penda pasipo na kujuta baadaye hata kwa wanaume hivhiv
Back
Top Bottom