for life
JF-Expert Member
- Sep 22, 2014
- 3,397
- 4,440
mweeeeeh kwani kuchezewa kukoje maana sielewi
utaelewa siku ukichezewa
mweeeeeh kwani kuchezewa kukoje maana sielewi
Hahaha kweli kbsItakuchukua maisha yako yote ili uweze kuwaelewa hawa wanawake
siku utakapokuja kuwaelewa ndio siku utakayokufa
trust me
mh pole sana mkuu ila unapaswa ujue hawa watu ni ulimwengu mwingine kabisa tofauti na uliopo wewe, ukiijua tofauti kubwa sana iliyopo kati yako na mwanamke utawatumia sana.
hawa watu wanatraits za kushangaza sana hasa kuhusu mapenzi,
ukiaenda serious ujue kumpata labda Mungu aamue lakini asilimia kubwa utapigwa chini wao ndo wanaamini kuwa UNAPRETEND!!!:A S confused:
ukijiweka kama pastor napo utapigwa chini hata kama washinda , wakesha ukisali utapigwa chini tu duh
ukienda hauko serious unaweza mla hata vice prezdent hawana chao hapo coz utadanganya kila kitu na yeye itakuwa ndiyo tu hatari kweli
inashangaza sana hawa watu ukifanya mistake moja at the beginning imekula kwako utapigwa chini tu hata kama unajielewa vipi
by the way hawa watu hata kama anamiaka 60 kwenye mapenzi ingia kama unatongoza under under 20 simple tu utatumia mno
jifunze kuwajua hawa watu hautakuja kulalamika jf tena.
si ndio mana mnajifanya mnapendwa, kumbe unapotezewa mda matokeo yake unazalishwa na kufanywa dekio huolewi unabaki unamlilia MUNGU kumbe wewe ndio chanzo, mm nasema MF.I.LWE tu bz mmetaka wenyewe kama wewe hvi
walikua wananjibu mbovu zamani nlivyokua sina hela ila saivi nagusa tu na kuwaacha, wale wanaonringia mwanzon wakigundua nna kazi wanajileta nao nawapindua na kuwaacha
Girls wa siku hz wanapenda mtu mhuni mhuni flan hivi, sa ukijitia ulokole huwapati,!