Mkuu, pole sana. Huo mtandao wa Voda Lowasa na Rostam ndio wenye hisa nyingi. Lowasa kafilisika kutokana na kutumia fedha nyingi kwenye uchaguzi. Rostam Aziz naye kafilisiwa na Lowasa. Hivyo hawana namna ya kuongeza kipato zaidi ya kuwabana wateja wa kampuni yao
Iv we lizaboni akil yako ipo vzur kweli? We muda wote Ni siasa tu unawaza. Umemsaidia nn mtoa mada kwa Hilo jibu lako.