Mtungo au mande
Miaka hiyo kitaa kina vijana wa rika langu wa kutosha, hapo mpira wa miguu na story kibao baada ya mpira. Hapo ndo nilipata mchongo Wa jamaa mmoja na kademu ka jirani na uwanja, nikapewa nafasi ya kupiga mande jamaa akifanikisha, kama zari wanaingia gheto mimi nikatimba story...
Jamii forum naipata ila ile mingine haipatikani kabisa, naishukuru serikali ya awamu ya tano kwa kuibakiza jamii forum yetu na kuzima ya mabeberu. CCM oyyeeee
Pongezi kwa Mwkt na rais John Pombe Magufuli kwa kushusha malaika akawazimia mtandao ma beberu.
Nitaweka bando Ku vote kwa zuchu, mwenyekiti katukosea sana kwa kuleta utengano kwa watanzania, enzi za mchonga tulisema watanzania ni ndugu. Zuchu hana kosa kafanya kazi yake ya sanaa kama mteja wake CCM alivyo taka, kwa kufanya kazi hakumuondolei utanzania wake.
MPE kura ya tuzo zuchu, ni...
mtoa mada umeshindwa kuielezea vizuri mada yako kuna baadhi ya maeneo hakuna taa kabisa na baadhi zipo asa maeneo ya watu wengi, jamaa Wa CCM na CHADEMA mnatualibia mada kura yangu itaenda kwa mwakilishi Wa wali nyama
Msondo ngoma hapa moshi, ngurumo pale momba, masharubu na pembeni mabela na romarii.
Nimekua sina raha apa nyumbani kila Siku maneno yako mama hayaishi mama, nimekua sina amani apa nyumbani kila Siku maneno yako mama hayaishi mama.
Nakupa talaka kwa shingo upande.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.