Ma Mshuza
Senior Member
- Feb 26, 2019
- 192
- 1,021
Binadamu si wa kuwaamini hata. Yaani mtu mwingine ni rafiki lakini kumbe hakutakii mema. Nliusikia huo wimbo wa Bend moja hapa nchini. Wanaimba wanasema hapa piga ua talaka yangu utatoa, ama sivyo ee bwana we nitakuonesha..
Nikaandika kwenye status yangu HAPA PIGA UA TALAKA YANGU UTATOA. Chini kabisa nikaandika jina la Band.
Watu hawakuona jina wameona tu hayo maneno. Walianza kububujika whatsapp wakiniambia tena mume wangu wala asinizingue kama akinipga tena nikamshtaki.
Wengi wamenipa pole na wakaka kutaka nitoke nao ili kupoteza mawazo. Nikawa nashangaa...marafiki zangu wananambia heri niwe huru wanaume wapo wengi.
Waswahili ni wanafiki sana tena wambea.wanawake kwa wanaume.yaani wanaamini mtu msomi anaweza weka maisha yake kwenye mitandao? sikuwajibu kitu. After 24 hrs nmeweka picha nipo na mume wangu wamenyamaza mpaka muda huu kimya.
Nyie jamani sisi binadamu hatupendani kabisa.yaani tunashawishiana kwenye mabaya utadhani sijui nini.khaaaah...mi nmewashindwa kabisa. Wao walishaamini maneno ya huo wimbo ndo maisha yangu.
Nikaandika kwenye status yangu HAPA PIGA UA TALAKA YANGU UTATOA. Chini kabisa nikaandika jina la Band.
Watu hawakuona jina wameona tu hayo maneno. Walianza kububujika whatsapp wakiniambia tena mume wangu wala asinizingue kama akinipga tena nikamshtaki.
Wengi wamenipa pole na wakaka kutaka nitoke nao ili kupoteza mawazo. Nikawa nashangaa...marafiki zangu wananambia heri niwe huru wanaume wapo wengi.
Waswahili ni wanafiki sana tena wambea.wanawake kwa wanaume.yaani wanaamini mtu msomi anaweza weka maisha yake kwenye mitandao? sikuwajibu kitu. After 24 hrs nmeweka picha nipo na mume wangu wamenyamaza mpaka muda huu kimya.
Nyie jamani sisi binadamu hatupendani kabisa.yaani tunashawishiana kwenye mabaya utadhani sijui nini.khaaaah...mi nmewashindwa kabisa. Wao walishaamini maneno ya huo wimbo ndo maisha yangu.