Shangilieni Lipumba kupigwa ila ipo cku atapigwa baba yako km mtu amefata taratibu zote halafu ghafla unamstukiza asitishe mlikuwa wapi siku zote kumwambia hapana.
Watanzania waoga ila hawa vijana mnaowapeleka jkt watakuja kulipa kisasi tu
Hivi hawa ndugu zetu mbona wabaguzi sana shuleni wakadai vijuba na suruali kwa watoto wa kike wakaruhusiwa ss wamekuja na mahakama ya kadhi wajenge wenyewe na wajitegemee.
Kumbe alisema ss pesa iliyopo serikalini kwani ni ya ccm au ya kwetu. Mbona kikwete alisema ataleta meli ziwa Victoria mpk leo hatujaiona mbaya zaidi na iliyopo ni mbovu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.