Chelsea Damu
Member
- Jan 18, 2015
- 14
- 2
Wanadanganyika kuolewa na Pete za uchumba za chuoni wakimaliza chuo mapenzi yanaishia hapo hapo sio wote wenye hali mbaya chuoni
ila watamu kweli walimu
Wamejitahidi sana hongera zao
Wanafunzi 150 kati ya 1.000 waliojiunga mwaka jana katika chuo kikuu kishiriki cha ualimu Dar es salaam (DUCE) wamebainika kuwa na ujauzito waliopewa na wenzao chuoni hapo!
Chanzo: Mwananchi
Mkuu hapo ni waliokutwa na mimba je waliotoa ni wangapi? huenda hao buku wote wametoa, kweli tutapona.
Dah??? Kumbe ndio maana mchumba wangu anaesoma DUCE amebadili number siku hizi, kwahiyo nae atakuwa amepigwa mimba? Uwiiiiii!
Hivi kupata ujauzito ni ajali? Mtu ambaye yuko chuo ni mtu mzima hawezi pata ujauzito kwa kushawishiwa na mtu mzima mwenziye bila kuridhia. Wangekuwa wako elementary au ordinary level ningekubali kuwa kuna vishawishi lakini kwa hili napinga hoja. Wakiacha kuzaa kwa umri huu walionao mnataka wazae in their fourties? You cant be serious