Shida siyo sura Wala ila ni wewe mwenyewe mindset Yako kwanza hujikubali vile ulivyo hujiamini na hata ukipata mtu unamjulisha mapunguf yako unalalamika tu na vile unataka huyo mtu awe hakosei hakuna malaika jiikubali jiamini maisha Yako yapo mikononi mwako waganga ni wadanganyifu na dawa zao...
Habarini za humu ndani nashukuru kwa mafunzo niliyoyapata Mwenyezi Mungu awazidishie hekima.Naswali ni kweli kwamba mchawi anapotoa siri zake anaishiwa nguvu?Na kama ndo hivyo inakuweje anatesa watu hao ?Kuna mchawi anahangaika na mimi kipindi kirefu shida iliyopo sasa anasumbua watu baki...
Sina hakika na hilo labda umetumwa kafara Ili Mali ziongezeke kwanini ufikirie kufa?Inamaana kote huko ulikopita hujaona wadada mpaka utangaze?Kama uko sawa tafuta mtu utakayependana naye.siyo ilimradi msichana utajuta na hizo Mali zitaisha zote.
Wanaume wa siku hizi hawajui kusimama kwenye nafasi zao badala yake wanakuwa watumwa kwa nyumba ndogo,kwenye familia zao hawashikiki muda wote wako buzy nasema ni buzy for nothing kwani kwenye majukumu ya pesa msaidiane.Wanakuwa wakali usiulize kitu wala usimwambie ,pia wanakuwa na siri...
Wanaume wa siku hizi hawajui kusimama kwenye nafasi zao badala yake wanakuwa watumwa kwa nyumba ndogo,kwenye familia zao hawashikiki muda wote wako buzy nasema ni buzy for nothing kwani kwenye majukumu ya pesa msaidiane.Wanakuwa wakali usiulize kitu wala usimwambie ,pia wanakuwa na siri...
Kuzaa watoto kila mmoja Baba yake ni hulka ya mtu mwenyewe haijalishi ni kabila gani pia hakuna kabila linaruhusu hayo mambo kila mzazi anategemea kuona mwanae akiolewa na kuwa na mtoto ndani ya ndoa,the issue is mambo yamebadilika maadili hakuna tena mwanamke akiumizwa anafanya kukomoa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.