Recent content by chefu

  1. C

    Nikimpenda tu, hatudumu

    Pole mwaya, ni wivu tu ndo unakuletea shida, punguza.
  2. C

    Unakumbuka nini siku ya kwanza kufanya ngono?

    Cpendi kukumbuka,maumivu yalikuwa makali sana.
  3. C

    Am lonely male

    Vp,ulishampata?
  4. C

    Kumbe ana mtoto nimemuacha na nimemfukuza

    Hajampenda tu.ukute na yeye kakataa mimba kibao huko mtaani, alafu anajidai hataki Mwenye mtt. Anajichimbia shimo tu asilojua urefu wake.
  5. C

    Need somebody

    upo sawa mkuu,nimeipenda hii
  6. C

    Natafuta mume mwema

    Asanteni kwa michango yenu nyote,Mungu awabariki na awape haja za mioyo yenu. huu Uzi Tafadhali usiendelee,nipm kama kuna chochote unachohitaji kujua juu yangu.
  7. C

    Natafuta mume mwema

    karibu pm.
  8. C

    Natafuta mume mwema

    Karibu pm
  9. C

    Natafuta mume mwema

    Asante mpendwa kwa kunitia moyo,ubarikiwe.
  10. C

    Natafuta mume mwema

    Asante sana mkuu.
  11. C

    Natafuta mume mwema

    Asante sana kwa ushauri,Mungu akubariki ww na kizazi chako msiwe mitumba.
Back
Top Bottom