Miss Natafuta
JF-Expert Member
- Sep 16, 2015
- 28,027
- 52,500
sasa unawadate wa nini kama unajua watakuacha? hamkai mkaweka mipango mezani?Kama nna tatizo je, nitalitatuaje? maana nackiaga ukiachwa na umpendae huwa unapata donda ndugu kwahyo mm hua najiwah kabla cjalipata sabab naogopa maumiv ya map**nz nackiaga ni machungu eti!
nitazingatia
