- Thread starter
- #21
pole sana dada umetumia usichana wako vibaya sana, umekuwa mtumba hutopata mchumba kwa watoto hao kwani wanaume siku hizi ni wajanja sana.
Ushur wangu afta kibabukimoja ukie tuu
Asante sana kwa ushauri,Mungu akubariki ww na kizazi chako msiwe mitumba.