Recent content by checkup

  1. C

    Nini weledi wa Walinzi wa Rais? Je, hiki walichokifanya ni sahihi au Rais aliwadharau?

    Acha kudanganya watu, jamaa awezi kuwa peke yake bila walinzi.
  2. C

    MALEZI: Mzazi, Usimpe mtaji mwanao!

    Dah!, umeniuzunisha kweli, mawazo haya ya karne izooo kitambo wakati kuna mapori anaenda kufyeka hapate shamba. Karne hii tayarisha mtoto aweze kujisimamia mwenyewe, mpe mtaji wa pesa au wa aina yoyote,mbinu za kuizalisha na mbinu za kulinda mtaji. Nyie ndo mnasababisha wasomi hawana kazi...
  3. C

    Watanzania tuelezwe ni wapi alipo Rais wetu Mpendwa John Magufuli, ni haki yetu kujua

    Mnapiga ramli mazee, kumbukeni imepigwa marufuku huko mjini
  4. C

    Baba mkwe, mahari hii imenishinda

    Familia inayozingatia uislamu. Hapo safi vijana wa kiislamu kama hajaoa atakuwa anamatatizo yake binafsi au binti hajapenda kuolewa na wewe.
  5. C

    Kinachoboa Mwanza

    Jamaa yangu tamaduni hazifanani, nimeishi kote huko ulipopataja ila lake zone ikiwemo mwanza chakula chao ni fresh sana, hakina mambo mengi artificial ivyo kinaleta nguvu za kutosha pia kinajenga mwili, lake zone yale matangazo ya nguvu za kiume na kurefusha dushe ni machache sana. Jombaa kula...
  6. C

    Ulishawahi kula tunda kimasihara?

    Mwaka 2013 nikiwa wilaya ya kazi, nimeenda kumtembelea dada mmoja mzurii lakini alikuwa mke wa askari, wanaishi nje kidogo ya kota nikapiga hodi akaitikia nikaingia ile nazama ndani nakuta wamekaa kihasara hasara na binti mmoja rafiki yake ile wanataka kurekebisha mambo nimeshawaona kitambo na...
  7. C

    Ni mpenzi mwenye kituko gani uliwahi kumpata? Mimi nilimpata huyu

    Wilaya moja ya kazi, nikakutana na katoto kamoja kadogo kazuriiii ka kinandi kutoka kenya ile verse kakatiki, mziki wake sasa yaani ukikatia kitu manageuza macho kama kanataka kudondoka kifafa nilipata tabu kukazoea
  8. C

    Soon Mwanza itakua gridlocked kama Dar es Salaam.

    Njia ya maji hii kwa bukoba na nchi nyingine za east africa. Kwa hali ya mwanza hii ndo njia inayo konnect na nchi jirani
  9. C

    Chuo gani bongo cha afya naweza soma

    Shukrani mkuu, msaada mkubwa sana huu
  10. C

    Chuo gani bongo cha afya naweza soma

    Minimum cut point cha vyuo vya afya ni ngpi
  11. C

    Chuo gani bongo cha afya naweza soma

    Aksante, pia ni ushauri
  12. C

    Chuo gani bongo cha afya naweza soma

    Kuna course gani ya afya hapo
  13. C

    Chuo gani bongo cha afya naweza soma

    Nina physics E chemistry E na biology C, naomba msaada ni course ipi naweza soma upande wa afya katika ngazi ya degree. Tafadhali naitaji msaada wa mawazo.
Back
Top Bottom