Dah!, umeniuzunisha kweli, mawazo haya ya karne izooo kitambo wakati kuna mapori anaenda kufyeka hapate shamba.
Karne hii tayarisha mtoto aweze kujisimamia mwenyewe, mpe mtaji wa pesa au wa aina yoyote,mbinu za kuizalisha na mbinu za kulinda mtaji. Nyie ndo mnasababisha wasomi hawana kazi...
Jamaa yangu tamaduni hazifanani, nimeishi kote huko ulipopataja ila lake zone ikiwemo mwanza chakula chao ni fresh sana, hakina mambo mengi artificial ivyo kinaleta nguvu za kutosha pia kinajenga mwili, lake zone yale matangazo ya nguvu za kiume na kurefusha dushe ni machache sana. Jombaa kula...
Mwaka 2013 nikiwa wilaya ya kazi, nimeenda kumtembelea dada mmoja mzurii lakini alikuwa mke wa askari, wanaishi nje kidogo ya kota nikapiga hodi akaitikia nikaingia ile nazama ndani nakuta wamekaa kihasara hasara na binti mmoja rafiki yake ile wanataka kurekebisha mambo nimeshawaona kitambo na...
Wilaya moja ya kazi, nikakutana na katoto kamoja kadogo kazuriiii ka kinandi kutoka kenya ile verse kakatiki, mziki wake sasa yaani ukikatia kitu manageuza macho kama kanataka kudondoka kifafa nilipata tabu kukazoea
Nina physics E chemistry E na biology C, naomba msaada ni course ipi naweza soma upande wa afya katika ngazi ya degree. Tafadhali naitaji msaada wa mawazo.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.