Kwa vigezo vya Urban proper, majiji ni Dar, Arusha na Mwanza yaani CBD. Hata Dodoma bado. Ila kwa metro majiji ni Dar, Mwanza, Dodoma, Mbeya ikifuatiwa na Tanga. Hata hivyo Morogoro na Moshi vinaweza kupewa hadhi hiyo na kuyapiku majiji kama Mbeya na Tanga, Dodoma ni bahati yake tu kwq sababu...