Watu tunashangaza sana mtu akiwa anaumwa mahtuti na hana uwezo akiomba msaada kila anasema hana kitu. Akisha fariki michango ya watu inakaribia milion. Hapo inakuaje? Inamaana kifo ni muhimu kuliko uhai
We potezea lakini jua wanawake sio watu leo kwa mwenzio kesho kwako ni mfano tu wanawake wanatusaliti kwa mengi, sio ajabu hata hiyo hela robo tatu imetoka kwa rafiki yako ana pewa ya matumizi alafu umepewa wewe. Ndo uanaume lakini wanawake sio unaweza kumpa kila kitu lakini ndo hivyo.
Ina kuwaje kumpiga mtu risasi kifuani wakati hana hata kisu? Inaonekana hawa askari huwa wanalindwa hawachukuliwi hatua ndo maana wanakuwa wajeuri. Au kuna kingine.
Tuna miaka tisa sasa yenye maisha ya kawaida yenye furaha, mimi nikiwa nafanya kazi katika kampuni moja hapa tabora yeye akiwa mama wa nyumbani.
Miezi nane iliyopita alipata kazi, wana jamii naomba msaada toka apate kazi amekuwa na kiburi, anataka hela yangu ndo itumike tu yakwake wala...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.