Recent content by chausiku

  1. C

    **Nairobi City Gallery**

    Mnairobi achana naye huyo...keep it up....i would expect this guy to be mtanzania and come up with beautiful pics of Dar! can he do that? wewe mjomba unayepiga madongo Nai hata camera unayo lakini? acha bifu! kama ulikuja Nairobi ukakaa mahoteli ya uchochoroni hayo matatizo yako! ila u cant...
  2. C

    **Nairobi City Gallery**

    Mnairobi nimependa. na mimi niko Nairobi but still nimeji-enjoy. let's hook up in one of those places you have taken.
  3. C

    Mgonja, Ndulu differ on Tangold ownership

    mtasema sana ila kula (ufisadi) hatuachi!! hiyo ni midomo midomo tu haina madhara....mkitaka kujua hizo kampuni za nani nendeni mahakamani, ulizeni na mtajibiwa! period!
  4. C

    Mkapa above the law?: Allegations

    Ni rais mstaafu. Ni lazima tumuheshimu. we do not want to set a bad precedent. Kama anatuhumiwa wanaomtuhumu wampeleke mahakamani. Kumzomea haisaidii na ni kuvunja sheria!!
  5. C

    Us Green Card Lottery

    It is DV 2008;Fiscal year 2008 (Oct,1 2007 to Sept 30, 2008. Yes, ilichezwa 2006!
  6. C

    Us Green Card Lottery

    Nimewachezea watu kibao Greencard lottery na baadhi wamepata....ila jamaa wako majuu hata salaam kwa mshikaji aliyewafanya wawe huko hakuna.Malipo kwa mungu na this time na mimi nimepata! tutakutana huko huko US! Kuhusu suala la kwa nini wabongo wengi hawashiriki,ninaweza kusema matatizo ni...
  7. C

    The road towards 2010 Elections

    I dont mind kuwa na rais kutoka upinzani ila tatizo ni kumtoa CCM! kwanza tuimegue megue then ndio tumtafute mtu kama Slaa aingie....so far, not bad ! I am sure kwa haya yanayoendelea ndani ya CCM, matajiri wakina Rostam soon watakuwa upande wa upinzani; ila this time ndani ya CCM! i mean...
  8. C

    Mkapa above the law?: Allegations

    ni aibu! sasa Mkapa tumfanyeje na utaratibu wetu, tuliojipangia wa kuwahifadhi maraisi wastaafu?
Back
Top Bottom