Recent content by Chatta g

  1. Chatta g

    JamiiForums Tanzania Arsenal (The Gunners) | Special Thread

    Hii biashara ujuee.. Ngoja tuone hii week
  2. Chatta g

    JamiiForums Tanzania Chadema inaweza kuja kushika madaraka, humo humo miongoni mwao watajasema hapana, haitufahai

    Kutesa kwa zamu bhana, kiukweli mboga mboga tumewachoka, we need new radha
  3. Chatta g

    JamiiForums Tanzania Napendekeza Tundu Lisu aachiwe huru kwa mujibu wa sheria, akamatwe tena na kufunguliwa mashtaka upya yenye ushahidi mpya uliothibishwa.

    Hun akili gentlemen,, ,, we ni mnufaika na serikali ya mboga mboga
  4. Chatta g

    JamiiForums Tanzania Makubaliano ya Maridhiano baina CCM na ACT Wazalendo - Julai 9, 2026

    Dangote,kachagua kenya uko boy we unachamba umbeya tu hapa.
  5. Chatta g

    JamiiForums Tanzania Majibu ya viongozi yanakinzana na uhalisia wa mambo kiufupi yanachanganya

    Si umeelewa hoja Gentlemen
  6. Chatta g

    JamiiForums Tanzania Hata ukipewa wewe madaraka hakuna utachofanya au kukibadilisha

    Gavoo inaplay big part in our life, huu ujinga wa kutuaminisha survival ukome
  7. Chatta g

    JamiiForums Tanzania Kwanini Tanganyika Law Society isifutwe?

    Huend huzijui kazi za TLS
  8. Chatta g

    JamiiForums Tanzania CHADEMA wanapanga kuturejesha kwa wakoloni

    Amn jipya nyiee,, kuna siku mtatoka,
  9. Chatta g

    JamiiForums Tanzania Hela za Tone Tone Tunduma zabebwa na Fuso la kukodi, zilikuwa nyingi mno, viroba havikutosha, Hakika Wananchi wameamua

    TUNDUMA MY CITY najivunia kuzaliwa hapo, hakik ccm haipendwi hapo Asilimia 90 ya wakazi wa tdm ni chadema tu. Ukizaliwa apo ni chadema by blood....
  10. Chatta g

    JamiiForums Tanzania Ukweli kwa walevi wa ma-bar: Mnaishi kishamba, mnakufa kibudu kisa sifa za kijinga

    Bange 3 buku, puli moja 6k kete 30 hi Bongo shiti Cha chuga kijiti 1500 Snanka 2000 Bia na pombe kali moja 1500 hadi 1000k. Itoe bange apo.
  11. Chatta g

    JamiiForums Tanzania Mange Kimambi: Viongozi wa Chadema walio baki nje hawafikii hata nusu ya Lissu

    Mange ajui tu chadema wanayo ya pitia huku mitaani,,, Wanakufa wanatekwa na wanafungwa sana. Cccm imewekaza nguvu zake zote kwa chadema kuhakikisha inafutika.
  12. Chatta g

    JamiiForums Tanzania Je, Yericko Nyerere ni nabii? Mengi aliyotahadharisha ndo yanawakumba CHADEMA kwa sasa

    Amna kitu uyo jasusi la mchongo,, Toka boss wake apoteze ulaji pale Chadema hapati tena posho. Anahangaika tu kama dume lanyani.
  13. Chatta g

    JamiiForums Tanzania Kama wazee wetu walikutwa wanacheza bao na dhahabu, kwanini tuwalaumu mabeberu?

    Unazingua wewe, Hizi stori tu kama ya sungura na fisi.
  14. Chatta g

    JamiiForums Tanzania Ndugu zangu Watanzania huku tunaenda wapi? Hawa watu ni Watanzania au ni AI?

    Hawa ndio magaidi sasa
Back
Top Bottom