Recent content by Chatta g

  1. Chatta g

    JamiiForums Tanzania Kuzuru kwa Rais Samia Kremlin, kubadili Siasa, vyama vya siasa, Uchumi, Ulinzi na Usalama

    We **** toka nikuchangie ile 10k yangu aloo nakuchukia milele,, fanya irudishe aise
  2. Chatta g

    JamiiForums Tanzania Nchi imeshaenda Kombo: Ninachoamini Nchimbi ni Smart Guy hamtoweza kumsikia akiingia kwenye mjadala wowote

    Nyoka ni nyoka tu yani ccm ni ile ile na watu wake ni walewale so hakuna jipya mteleta.
  3. Chatta g

    JamiiForums Tanzania Arsenal (The Gunners) | Special Thread

    SWALA LA MUDA TU, UEFA ITAKUJA
  4. Chatta g

    JamiiForums Tanzania Kama kweli mnajiamini mguseni Mtanganyika Dr. Emanuel Nchimbi

    Dawa yenu ni nyie wote kung'oka hakuna cha Nchimbi wala simia
  5. Chatta g

    JamiiForums Tanzania Vitendo vya Ushoga vinaongezeka kwa kasi sana

    Toa ujinga huu, kichwani mwanaume anazaliwa kamili hakuna kitu kinaitwa mwanaume anatamani kufilwa. Mnazisingizia homonie sana. Ushoga ni Tabia mbaya yenye Uraibu.. Unazaliwa tarabulasa yani hujui kitu, ila Dunia na walimwengu wake wanakufunza kila kitu. Nauchukia ushoga sana.
  6. Chatta g

    JamiiForums Tanzania Mange Kimambi na genge lake ni Wana mapinduzi waliobobea. Wanachofanya sasa ni Character assassination na kuchochea vijana

    Hapa umechalala mtibeli ila kwakua umepewa maelekezo basi sawa muhimu tu umeenda chooni. Asante kwa ujinga wako wa leo
  7. Chatta g

    JamiiForums Tanzania Hakuna alie tekwa pale, ni pure drama, yaani ni utekaji bandia

    Ona haibu Gentlemen icho cheo ulicho nacho apo mjengoni lumumba ni dhamana tu any time inapotea na hata kama upo kwenye payroll ya zil buku 7 jalibu kua na akili gentlemen. Huna akili
  8. Chatta g

    JamiiForums Tanzania Tanzania: Baadhi tupunguze "Ujuaji" Usio na "Tija"

    **** tu wewe,, ushashiba tozo zetu sasa mmeanza na dharau
  9. Chatta g

    JamiiForums Tanzania DOKEZO Video: Polisi K/Koo anakusanya bajaji anachukua rushwa

    Kila mtu anakula anako fanya kazi,, kwa maisha ya sasa bongo mbona poa tu, Apo kawaokoa watu na hesabu zao za siku.
  10. Chatta g

    JamiiForums Tanzania Changamoto za kutokuwa na mtoto wa kiume kwenye familia

    Hata ue shoga mrenda kiasi gani uanaume hautoki kamwe kwa mwanaume. Ujasiri, Nguvu, utawala.. Ushoga ni Tabia mbaya tu..
  11. Chatta g

    JamiiForums Tanzania Report ya CAG na upotevu wa nyeti wanaume umegundua nini?

    Hi ishu ilianzia Congo kamanda,ikaenda mpka Rwanda na Badae Burundi,, ikafika zambia zote hizi zilkua tetesi na video zipo apo mjini youtube watu kote uko walitoa dozi. Na sasa Tz na imeanzia apo Tunduma mpkani mwa Zambia na Tz. Kwahio ishua sio propaganda ahusiani na hii ripoti. Sema hi nchi...
Back
Top Bottom