Toa ujinga huu, kichwani mwanaume anazaliwa kamili hakuna kitu kinaitwa mwanaume anatamani kufilwa. Mnazisingizia homonie sana.
Ushoga ni Tabia mbaya yenye Uraibu..
Unazaliwa tarabulasa yani hujui kitu, ila Dunia na walimwengu wake wanakufunza kila kitu.
Nauchukia ushoga sana.
Ona haibu Gentlemen icho cheo ulicho nacho apo mjengoni lumumba ni dhamana tu any time inapotea na hata kama upo kwenye payroll ya zil buku 7 jalibu kua na akili gentlemen.
Huna akili
Hi ishu ilianzia Congo kamanda,ikaenda mpka Rwanda na Badae Burundi,, ikafika zambia zote hizi zilkua tetesi na video zipo apo mjini youtube watu kote uko walitoa dozi.
Na sasa Tz na imeanzia apo Tunduma mpkani mwa Zambia na Tz.
Kwahio ishua sio propaganda ahusiani na hii ripoti.
Sema hi nchi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.