Recent content by chatox

  1. C

    tumechoka muda wote ajira ajira! kalimeni

    Hivi kwani kuna mtu anafundishwa kulima?,then waalimu kwa tabia hii mnaendelea kuifanya kuwa fani ya watu wasio na upeo wa kufkri,mmeshaambia ajira leo zinatoka,imekuwa kelele kila kona,hivi leo inaisha saa ngapi,hembu ipeni hii fani heshma yake kwa kuwa na uwezo wa kufkri.
  2. C

    Waliosoma Musoma technical high school

    pilato unamkumbuka kule jikoni
  3. C

    Ajira za Walimu wapya ngoma droo hakuna cha UDSM wala SEKOMU

    Kwa haya mnayoandika field hii itaendelea kuomwa ya ajabu na isiyo na heshima
  4. C

    Ajira za Ualimu 2015/2016 zinatoka lini?

    acha kukariri kuingia kwenye salary mwisho tarehe 15
  5. C

    Serikali kuajiri Zaidi ya walimu 35,000

    nimesema kuanzia leo ajira zitaoka,na haipiti siku mbili
  6. C

    Serikali kuajiri Zaidi ya walimu 35,000

    Jamani be informed kuwa ajira zinatoka muda wowote kuanzia siku ya leo
  7. C

    Ajira za Ualimu 2015/2016 zinatoka lini?

    Ajira zinatoka leo hii tarehe 23,be informed
  8. C

    Ajira za Ualimu 2015/2016 zinatoka lini?

    taarifa zilizopo ni kuwa wataajiriwa waalimu wa sayansi na english tu,hii ni official
  9. C

    CCM kwachafuka,mchawi anatafutwa

    Hivi chama kinategemea heti wasira ndo jembe lao si uchizi huo,yaani mi mfano nisimame jukwaani na wasira,na bado mwezi wa tatu tunaanza kupiga kampeni dhidi ya katiba ccm
  10. C

    Uchaguzi Serikali za Mitaa 2014: Matokeo kutoka nchi nzima (TZ Bara)

    Napenda kutoa pongezi zangu za dhati kwa wana Chato kwa jinsi walivyo onyesha imani yao kwa CHADEMA,hongereni sana. CCM wameshinda lakini nilinganisha hali ilivyokuwa 2010 na leo ni tofauti kabisa kati ya vijiji 58 tumeshinda vijiji 42,so unaweza kuona ni jinsi gani wananchi wamebadilika.
  11. C

    Kagera: Kilichonifurahisha jana ni wagombea 3 wa CCM kujiuzulu asubuhi

    Mabadiliko yanakuja tena kama moto wa kifuu
  12. C

    Watu zaidi ya 670 watupwa mhabusu, tuombeane Watanzania

    That's y nasema nchi hii vita inakuja komaeni makamanda tupo nyuma yenu kabisa.hamani haiji ila kwa ncha ya upanga
Back
Top Bottom