Unapokuwa na furaha sana au Hasira sana tunashauriwa kutofanya Maamuzi au Jambo lolote lile ambayo linakufanya Utoe ulichonacho muda huo inaweza kugharimu na yule Adui yako akakujua zaidi lazima kuficha Yabaki moyoni na mengine yafanyike kwa makini na muda muafaka.
TULIA VUTA SUBIRA KILA KITU...
Kitendo Ulichofanya Popat CEO wa Azam sio cha Kizalendo kabisa unawezaje kulazimisha Timu yako ya Azam ifanye Mazoezi Asubuhi Chamazi Stadium siku ya leo ya mechi ya CAF mbona siku nyingine hujafanya hivi au kisa leo inacheza timu usioipendaMoyoni mwako?
Uwanja upo Chini ya CAF umekodishwa hili...
Sijui mmetolea wapi hili Jina Kuitwa Timu ya Taifa Uganda GIFT FRED mmewaonaje Waganda yaani mtu hajacheza toka aje anagugumia tu hata kumdhamini mmemuweka benchi wenyewe now mnasema Uongo Kaitwa Tunaomba Uthibitisho wake Wadau wa Soka Tunajua Hajaitwa sasa nyie mmetoa wapi hii Kudanganya watu...
Baraka Mpenja kawa wa hovyo sana! Badala ya kutangaza mpira yeye kazi yake kusifia WANDENGEREKO tu, hata kwa vitu vya hovyo Yote hii ni baada WANDENGEREKO waliandika barua Azam kulalamika kuwa yeye Mpenja hawapendi na hawataki atangaze mechi zao TOBA TO МАОКОТО yakaja na siunajua Mpenjatv...
wakijikusanya kutoka Hotelini Kariakoo kwenda kucheza na Yanga Chamazi kwenye CAF sasa Angalia Mbwembwe za Upande wa Pili utadhani wanaenda kucheza na Mamelod hivi Zingatia Room hapa Bed & Breakfast ni 50,000 tu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.