Nijambo la maana alilo lifanya mh rais kwakutoa agizo la machinga kurudi katika maeneo yao
Kweli wewe ni rais wa wanyonge[emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji120] [emoji120] [emoji120] [emoji120] [emoji120] [emoji120]
Machinga jijini Mwanza Leo wamevunjiwa vibanda vyao vya biashara bila makubaliano na serikali wapi wataenda kufanya biashara zao huku mkuu wa wilaya Nyamagana akikataa kabisa kutokaa meza moja kulijadili na viongozi wa wafanya biashara hao.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.