Recent content by Charity Jackson

  1. C

    Air condition(ac) inauzwa.

    Nisaidie namba yako unayotumia whatsapp nahitaji ac lkn kuna mambo nahitaji kuyafahamu.
  2. C

    GARI LINAUZWA

    Gari aina ya Rav4,CC 1998,Usajili T 588 CHQ lina hali nzuri kilometa 82,000. Location Kigoma.Open roof na engine haijafunguliwa. Bei 9,500,000 maongezi yanaruhusiwa. Kwa mawasiliano na maelezo zaidi call/ whatsapp 0687634408/
  3. C

    Nimetia aibu kubwa ukweni

    hehehehehe yaani watu mmepinda jamani kaaah hehehehehe
  4. C

    Nauza vitu vyangu vya ndani vya kisasa..bei chee!

    Naomba uniuzie mapazia na makapeti,pia naomba kujua bei ya flat screen
  5. C

    Nauza vitu vyangu vya ndani vya kisasa..bei chee!

    Mimi niuzie mapazia na kapeti maana naishi mbali
  6. C

    Car4Sale Toyota Harrier Lexus 5.9 million tu

    2990 mhmm na hali ya uchumi wa magu!
  7. C

    rav4 oldmodel inahitajika

    Lipo nauza ila sio rangi nyeusi,haijatumika sana
  8. C

    ATCL: Dom-Kigoma-Dar?

    kigoma wateja wa ATCL ni wengi mno na ndosababu haujawahi kusikia njia hii imesitishiwa usafiri maana ndiko wanakochuma pesa. Kilio cha wengi ni gharama (bei) kama ingekuwa nafuu ingekuwa mara tatu ya ilivyo sasa.
  9. C

    ATCL: Dom-Kigoma-Dar?

    ATCL wana wateja wengi sana kigoma na ndo usafiri pekee wa uhakika kwa wafanyabiashara wa kugoma, tatizo ni bei (nauli) yao Dar to Kigoma.
  10. C

    Kiwanja kinauzwa Madale

    Mil 4.9 siwezi pata?
  11. C

    Msaada jamani

    Unajua sijajua kutumia mtandao,samahani ntauliza ngoja nifute
  12. C

    Msaada jamani

    Jamani msaada mnisaidie ,dawa ya kienyeji ya malaria sugu!na U.T.I
  13. C

    Forever Living

    Kwa ujumla kabla ya kuingia kwenye biashara yoyote ya mtandao ufikirie mara mbili.Maana ukiingia kwenye mikutano yao kwa jinsi wanavyoshawishi utajua kesho naenda kuwa Dangote lakini duu!!.Waweza saga mguu ukitafuta wateja mpaka kiatu kinan'goka sori!!!
Back
Top Bottom