Wadau awamu ya 5 imeonyesha kidogo kuwa na dhamira ya dhati ya kuzuia wizi na ubadhilifu wa mali ya umma Na sisi wananchi kama wadau muhimu ni wajibu wetu kumsaidia mtumbua majipu kuwafichua hawa watu wanaoitwa majipu ili wachukuliwe hatua stahiki
MBINGA ni moja ya halmashauri zilizokuwa tajiri...
Nimesema kwa aliye interested ukiniuliza kwa nini nimesema awe na kazi ya kueleweka nina maana ya mazingira atakayokulia mwanangu angalau pawe na tv, play station, azungukwe na maisha ya kiwango cha kati ili kuepuka mwanangu kukulia mazingira ya kiswahili kwa sababu katika umri fulani...
Asiwe na Miaka 40 asiwe chini ya Miaka 24 awe na Kazi inayompatia Kipato. Gharama zote za kumtunza, kusomesha Mwanangu zitakuwa zangu,ila hakuna kuoana kwa aliye tayari aje inbox.
Ukweli nyasa anayeivuruga ccm ni kijana mmoja mtia nia wa chadema kwa sababu kijana huyo alifanya kazi halmashauri hiyo kwa muda mrefu kwa hiyo ana marafiki wengi pale ofisi ya mkurugenzi na hata watendaji wa kata na vijiji wamefanya nae kazi miaka mingi kwa hiyo wamekuwa wakimpa ushirikiano wa...
Wanabodi nianze kwa salam,
Wananchi wa wilaya ya Mbinga kwa umoja wetu tunakiaga chama cha mapinduzi kwa sababu ya madhambi makubwa ambayo tumekuwa tukifanyiwa na viogozi wa wilaya kuanzia mwaka 2005 hadi leo hii.
Kwa miaka mingi wilaya hii ilikuwa na sifa za uchapa kazi na ukusanyaji wa...
Hapa mbinga amsha amsha za bodaboda zimeanza kwa style ya honi polisi wana gari moja na aina hakika kama lina mafuta itakuwa ngumu kudhibiti maandamano ya njia 3 hawana ujanja na tumeshawasambazia vipeperushi leo iwe siku yao ya mwisho kuishi mtaani wote wana mie line police
Wadau wa mbinga kesho kama tulivyokubaliana kwenye kikao tulichomaliza hapa katika ukumbi wa ngollodoto kuwa viongozi wa mitaa kwa ushirikiano na waratibu ratiba itakuwa kama ifuatavyo maandamano yataanza katika njia tatu mbuyula na mbambi tutaanzia kwa Hamis fundi baiskeli, tanki la maji...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.