Mbinga tumepigika inatosha sasa CCM kwaherini

Mbinga tumepigika inatosha sasa CCM kwaherini

chaphuka

Member
Joined
Jan 29, 2014
Posts
59
Reaction score
9
Wanabodi nianze kwa salam,

Wananchi wa wilaya ya Mbinga kwa umoja wetu tunakiaga chama cha mapinduzi kwa sababu ya madhambi makubwa ambayo tumekuwa tukifanyiwa na viogozi wa wilaya kuanzia mwaka 2005 hadi leo hii.

Kwa miaka mingi wilaya hii ilikuwa na sifa za uchapa kazi na ukusanyaji wa mapato uliokuwa ambao uliasisiwa na Bw Hussein Kattanga ambaye kwa wana Mbinga ni kama baba wa wilaya hii alioondoka ndg Katanga ndio wizi ulipoanza kushika kasi.

Sasa kwa kuwa CCM mmeshindwa kuwadhibiti Mkurugenzi na mkuu wa wilaya wanaiba mnawaangalia tu miradi inajengwa chini ya kiwango mpo mpo tu manunuzi ya vifaa yanaongezwa bei kuliko bei halisi mnatumbua macho tu si mbunge wala madiwani.Mnachekea wizi halmashauri imefilisika shajara maofisini hakuna mafuta hakuna.

Wananchi tunawaambia kwaherini ya kuonana tumekuwa mabwege inatosha sasa.
 
Wananchi wa Kijiji cha Amani Makolo Mbinga wakiapa kiapo cha utii kwa CCM
5.jpg
 
Mbunge wa Mbinga Mhe. Kayombo akikabidhi pikipiki 50 kwa waendesha bodaboda wa Mbinga

29.jpg
29.jpg
 
Wananchi wa Kijiji cha Mtunduwalo Mbinga huwambii kitu kuhusu CCM
107.jpg
 
Mtaji wa maskini ni elimu si nguvu yake mwenyewe......sisemi wanatumia ujinga wa watz ka mtaji wao...... tulio amka tuongeze nguvu kulikomboa taifa....
 
..kataeni ujinga ndio mtaji wa ccm
 
Zama za Kidumu hapana tena zikataeni kwanguvu zenu zote zama hizi nizaukawa ndio mpango wa Mungu
 
Wananchi wa Kijiji cha Amani Makolo Mbinga wakiapa kiapo cha utii kwa CCM
5.jpg
Angalia nyumba zao na vyanzo vya maji , uko dsm unataka kuwaongopea wananchi !
 

Attachments

  • attachment-14.jpeg
    attachment-14.jpeg
    10.4 KB · Views: 793
Umeandika kwa uchungu sana , hakika wewe ni mzalendo halisi , ujumbe wako umfikie kamanda chisango popote alipo .
 
Kama kweli umedhamiria(mmedhamiria,)lete thread hapa tarehe 20/12/2014 kutuhakikishia dhamira yako.
 
Kama kweli umedhamiria(mmedhamiria,)lete thread hapa tarehe 20/12/2014 kutuhakikishia dhamira yako.
Mungu akipenda nitaweka kambi ya wiki 2 hapo mbinga , haya mambo hayakubaliki , maisha ya wananchi hawa ni ya dhiki sana ni lazima wakombolewe .
 
tatizo lenu mko mbal saana na nchi ndo mana ujinga umewabana mbavu had viapo vya chipkiz vipo bado sie hapa mosh tushachinja ccm sasa tunafurahia maisha CHINJA CCM CHINJA UJINGA CHINJA UMASIKIN
 
tatizo lenu mko mbal saana na nchi ndo mana ujinga umewabana mbavu had viapo vya chipkiz vipo bado sie hapa mosh tushachinja ccm sasa tunafurahia maisha CHINJA CCM CHINJA UJINGA CHINJA UMASIKIN
 
Watu wenye shida nyingi huwa wanaipenda sana ccm
 
Nape anawauliza mnataka maji au mnataka katiba
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom