- Thread starter
- #41
-Wewe CV yako mbona hujaiweka
-Wewe ndo utakayehudumia sasa ina ulazima gani wa awe na kazi ya kuaminika
-Kwanini usichukue yatima ukalea
cc chaphuka
Nimesema kwa aliye interested ukiniuliza kwa nini nimesema awe na kazi ya kueleweka nina maana ya mazingira atakayokulia mwanangu angalau pawe na tv, play station, azungukwe na maisha ya kiwango cha kati ili kuepuka mwanangu kukulia mazingira ya kiswahili kwa sababu katika umri fulani nitamchukua na kuishi nae
Last edited by a moderator: