Recent content by Changed ID

  1. Changed ID

    JamiiForums Tanzania Mbwa wa mtaani wamekuwa kero katika ufugaji wangu. Nitumie mbinu gani kuwadhibiti?

    Chemsha maji kwa centrigrade ile ya mwisho halafu mmwagie mmoja wapo.Hakuna mbwa atakujukuzoea tena,na hata ukipita mtaani kokote kule hakuna mbwa atake bweka mbele yako.
  2. Changed ID

    JamiiForums Tanzania Mbwa wa mtaani wamekuwa kero katika ufugaji wangu. Nitumie mbinu gani kuwadhibiti?

    Pole kwa changamoto Naomba ku-share njia niliyoitumia mimi.Muda mwingi walikuwa wanapenda kupumzika kwenye veranda ya nyumba yangu na kivulini chini ya mti
  3. Changed ID

    JamiiForums Tanzania Nina TV ya Samsung inch 43 android, inaniletea shida kiasi kwamba siwezi kuona chochote

    Shukrani sana,weekend hii nitamuona
  4. Changed ID

    JamiiForums Tanzania Nina TV ya Samsung inch 43 android, inaniletea shida kiasi kwamba siwezi kuona chochote

    Sorry namaanisha smart 4K... Inakata ghafla. Niliwahi kudiagnosis mwenye tatizo kwa kuangalia Youtube,video nyingi zilionyesha ni tatizo la ribbon,nilijaribu kufatisha walicho kifanya lakini haikuzaa matunda labda pengine mimi si mtaalam hivyo sikuweza kufikia muafaka.Baada ya hapo nilianza...
  5. Changed ID

    JamiiForums Tanzania Nina TV ya Samsung inch 43 android, inaniletea shida kiasi kwamba siwezi kuona chochote

    Habari ndugu zangu wanaJamiiforums......Nina TV ya Samsung inch 43 android, inaniletea shida kiasi kwamba siwezi kuona chochote. TATIZO: Nikiiwasha inawaka lakini ndani ya sekunde kumi inazima tena baada ya zingine kumi inazima tena. Inakuwa inafanya mchezo wa aina hiyo muda wote ambao inakuwa...
  6. Changed ID

    JamiiForums Tanzania Huyu ndio Balozi Dola Soul

    Dj Yusu
  7. Changed ID

    JamiiForums Tanzania Utajiri wa rafiki yangu ulivyofanya nikamuamini Shetani

    Episod 15....
  8. Changed ID

    JamiiForums Tanzania Natafuta nyumba ya kupanga

    Sita mkuu
  9. Changed ID

    JamiiForums Tanzania Natafuta nyumba ya kupanga

    Hello family, Natafuta nyumba ya kupanga kuanzia maeneo ya Kimara temboni mpaka Kiimara mwisho. Sifa za nyumba Vyumba vitatu, sebure na jiko, Fence and stand alone. Huduma muhimu kama maji na umeme viwe vya uhakika. Pia kusiwe mbali saana kutoka Morogoro road. Kama unamfaham mtu anayehama...
  10. Changed ID

    JamiiForums Tanzania Dark days 17/03/20

    Hii series ni kama Isidingo
  11. Changed ID

    JamiiForums Tanzania Kitunguu swaumu na upara

    Mrejesho please...
  12. Changed ID

    JamiiForums Tanzania Peniela (Story ya kijasusi)

    Hii stori nilikuwa naitafuta kitambo
  13. Changed ID

    JamiiForums Tanzania Je, tunaweza tengeneza App shindani ya Uber/ Bolt hapa nchini?

    Kuna app hiyo imekuwa launched mwaka jana,inaitwa PAISHA.Inatoa huduma za kama za Uber ba Bolt.Isipokuwa wao hata delivery ya bidhaa pia wanatoa. Makato yao kwa dereva ni 10% tu.Ambapo dereva anakatiwa bima ya mwaka,anaweza akapewa mkopo wa pikipiki pia..Inshort wako vizuri na...
  14. Changed ID

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Tom boy ndani ya ghetto langu!

    Basi,ingekuwa huyo ningekwambia si peke yako hata mimi nina stori nae. NIimjuae mimi alikuwa Tom Boy haswa Ananyoa pank,mrefu kimtindo na mweume mwenye sura ya Kimburu. Tulikutana mwishoni mwa mwaka juzi,kipindi hicho hicho akiwa kwenye majonzi ya kumpoteza mama yake..... Mara ya mwisho...
  15. Changed ID

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Tom boy ndani ya ghetto langu!

    Ndio huyo mwenye namba hiyo?
Back
Top Bottom