Changed ID
Member
- Aug 5, 2018
- 73
- 60
Hello family,
Natafuta nyumba ya kupanga kuanzia maeneo ya Kimara temboni mpaka Kiimara mwisho.
Sifa za nyumba
Vyumba vitatu, sebure na jiko, Fence and stand alone. Huduma muhimu kama maji na umeme viwe vya uhakika. Pia kusiwe mbali saana kutoka Morogoro road.
Kama unamfaham mtu anayehama siku si nyingi katika maeneo hayo au hata kama ni wewe naomba msaada wako juu ya hilo
Budget yangu haizi TZS 300,000/=
Ntafurahi kama nitapata msaada kutoka kwenu.
Ahsanteni.
Natafuta nyumba ya kupanga kuanzia maeneo ya Kimara temboni mpaka Kiimara mwisho.
Sifa za nyumba
Vyumba vitatu, sebure na jiko, Fence and stand alone. Huduma muhimu kama maji na umeme viwe vya uhakika. Pia kusiwe mbali saana kutoka Morogoro road.
Kama unamfaham mtu anayehama siku si nyingi katika maeneo hayo au hata kama ni wewe naomba msaada wako juu ya hilo
Budget yangu haizi TZS 300,000/=
Ntafurahi kama nitapata msaada kutoka kwenu.
Ahsanteni.