Magufuli amrudishe Mpina Wizara hii.
Kwa ufupi Rais amemuacha mtu muhimu sana katika kusimamia Wizara, Baada ya muda mfupi Rais atajua kuwa amechemka kumuacha huyu Mwamba.
JELA MIAKA 30 KWA UBAKAJI: Mahakama ya Hakimu mkazi Mkoa wa Tabora imemuhukumu kutumikia kifungo cha miaka 30 jela kijana aliyefahamika kwa jina la Halawa Tabu mwenye umri wa miaka 25 mkazi wa Wilaya ya Uyui mkoani Tabora baada ya kupatikana na hatia ya kumbaka binti mwenye umri wa miaka 19...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.