Recent content by CHAMPUNGA

  1. C

    GE2010 CCM Presha Inapanda Inashuka: Video yangu ya leo

    Haaaaa haaaa. Na wewe pia, Puuuuuuuresha inapanda inashukaaaaaa Na wengine kama wewe puuuuuuuuuresha inapanda inashuuukaaa CCM, puuuuuuuuuuresha inapanda inashuka
  2. C

    Goli ni Goli; la Mpendazoe nalo Goli!

    Haaaaaaaa haaaaaaaa Kwa kweli mbavu sina kanaitwa ka-Alfan mkuu.
  3. C

    Amos Makalla nje, Zhakia Meghji ndani!

    Hii nimeipenda sana maana hata kama huna uhakika na jambo lenyewe bado unatanguliza malalamiko du. Sijuwi inakuwaje kwa mwendo huu. Yaaani hii inaitwa "Complains in advance". ili itakapotokea uwe umeshatimiza wajibu wetu wa kulalamika safi sana. Na hii je: Nimesikia JK atamteua RA kuwa PM...
  4. C

    Sikulifuta Azimio la Arusha - Mwinyi

    Ili iweje wakati lilikuwa tamko tu na wala haikuwa sheria tena ni la wana CCM tu na wala sio sisi wote. Ni uvivu wa kufikiri kudhani litatufaa. Halikusaidia chochote na halitaweza kusaidia binadamu yeyote duniani. It was really unresearched declaration.
  5. C

    Nani Aliongoze Tanzania Kikwete Aking'atuka

    Mi namuamini sana Mkuchika nashangaa hujamuweka kwenye list huyu jamaa anafanana na mkapa anaweza fanya maamuzi tofauti ni kwamba yeye haibi hata kidogo. Kwa hiyo anatufaa sana
  6. C

    JK apata PhD ya International Relations

    Ooh my God, bado unaamini hivi kweli kazi ni kubwa maana na wengine kule kijijini wanaamini bila chama cha Nyerere (CCM) hakutakuwepo Tanzania. Yaani vijiimami imani tu. Huku tukiendelea kufail. HONGERA kikwete, KWA hiyo PhD. tena nawaomba university waangalie uwezekana wa kumpatia mama naye...
  7. C

    JK apata PhD ya International Relations

    Hakika maendeleo hayawezi kuletwa na sisi kama bado tutaendelea kufikiri kiazimio la Arusha. We need technology, skills, and networking with the rest of the world, Rais wetu Dr. Jakaya Mrisho Kikwete anayafahamu hayo na ndiyo mana hawezi kuendelea kuzubaa hapo Magogoni. Anatafuta kutuunganisha...
  8. C

    JK apata PhD ya International Relations

    Hongera sana Dr. Jakaya Mrisho Kikwete kwa hiyo PhD. hakika unastahili. Wazungu walisafiri kote duniani wakaleta maendeleo Europe. Tunashuhudia maendeleo makubwa hivi sasa ikiwa ni pamoja na ongezeko la waTZ wanaopata nafasi za masomo nje ya nchi.China, UK, United State, India ziko kibao...
  9. C

    Ngurumo ya maalim Seif yafadhaisha wengi London

    Ndugu yangu sikukatishi tamaa katika kutetea aina hii ya muungano, ambao hakuna hata sehemu moja ya binadamu wenye akili duniani wanaweza kuuafiki. Lakini pia nakutahadharisha kuwa ipo haja hata sisi wa Newala kuanza kuhoji sababu za kuendelea kuitwa Watanzania au Watanganyika kama kila kitu...
  10. C

    Mrema pumzika baba

    Nadhani kuna tatizo kwa ndugu yangu huyu. Nakumbuka hata uchangiaji wake kwenye suala la msaada wa Gadaff kwa waathirika wa mafuriko Kilosa haukuwa wa kawaida. Kaka inakuwaje lakini mbona unatoa adhabu kali kwa binadamu wenzako?
  11. C

    Hivi JK hili amepatia?

    Mbona sasa atashinda tena kwa ushindi wa kishindo 2010
  12. C

    Tunamkumbuka Mzee Rashid M. Kawawa - Simba wa Vita

    Binafsi huwa sioni kama kuna tatizo kubwa la kuweza kuondoa sifa anazostahili kuzipata mzee Kawawa. Cha msingi ni kwamba alithubutu kutenda kwa maslahi ya wengi si kwa maslahi yake binafsi kama tunavyoona yanayotendeka kwa viongozi wetu wa sasa. Kama pesa zilikopwa kwa shughuli za kichama...
Back
Top Bottom