Nani Aliongoze Tanzania Kikwete Aking'atuka

Sasa hivi Tanzania hatuhitaji kiongozi kwa jina, tatizo la Tanzania ni kuwa na mfumo bora wa sheria zinazofanya kazi na vyombo muhimu kama mahakama, bunge, tume ya uchaguzi,PCCB, mwendesha mashitaki,TRA,EWURA viwe huru bila kuingilwa na wanasiasa na uteuzi wa viongozi wake uwe wa wazi na uhuru. Kwa mfumo tulionao kwa sasa umeshachoka na haufanyi kazi kwa tija zaidi ya blabla unahitaji kuwa overhauled.
 
Wewe na mimi ndio tunafaa kuongoza maana wote hawa wapo kwenye mfumo ule ule na watu wale wale, hakutakuwa na jipya mkuu wangu
 
H. E. Yoweri Kaguta Museveni, Rais wa Kwanza wa EAC... juzijuzi tu tulikuw tunaulizwa tumuharakishie Urais au tuucheleweshe?
 
Tizameni majina yote ya watu wa kanza ya ziwa ndipo mmoja wao atatokea humo kati ya J.Pombe magufuri na Sitta na wengine ila sio Diallo wa Masha
 
Dr. Slaa anafaa hao wengine wana uzoefu wa kufeli na kulindana. Tunataka mtu mwenye uwezo wa kusimamia utaratibu uliowekwa au utakaowekwa. Sio kudanganyana na maneno matamu ya kisiasa, oh TAKUKURU muwe wa mwisho kula rushwa nani kakuambia raisi uruhusu rushwa??
 
Nani Aliogoze Taifa Kikwete Akiamua Kung'atuka?

1. E. Lowassa,
2. B. Membe,
3. J. Magufuli,
4. J. Mashaka,
5. S. A. Salim,
6. R. Aziz,
7. J. Shibuda,
8. R. Mengi,
9. L. Masha,
10. Dr. H. Shayo,
11. M. Pinda,
12. Dr. US Blogger,
13. A. Kilango,
14. Dr. B. Buriani,
15. M. Dewji,
16. M. Mwandosya,
17. I. Lipumba,
18. Z. Kabwe,
19. H. Mwakyembe,
20. Vijisenti,
21. J. Cheyo,
22. R. Paulsen,
23. C. Mtikila,
24. J. Malecela,
25. Dr. Kimei,
26. Dr. S. Kawambwa,
27. P. Nalitolela,
28. Dr. Slaa.
29. B.W.Mkapa,
30. F. Sumaye,
31. J. Warioba,
32. Mch. Kakobe,
33. J. Shibuda,
34. P. Msekwa,
35. A. Makinda,
36. S. Sitta,
37. Mch. G. Rwakatare,
38. A.H. Mwinyi,
39. Madaraka Nyerere,
40. Kingunge,
41. Seif Khatib,
42. Dr. H. Mwinyi,
43. M. Bomani,
44 .R, Kikwete,
45. J.Makamba,
46. Jerry Muro,
47. M.M.Mwanakijiji


hawa watu uliowaorodhesha hapa ni kina nani na kwa nini unadhani wanastahili kuwa kwenye orodha ya watu ambao wanaweza kuendesha nchi hii. mimi nadhani yeyote anaweza kuongoza as long as amechaguliwa na wananchi... hapa Tanzania yeyote anaweza kuwa rais hata mie naweza! hii orodha imekusanya hata machizi, ghosts, n.k. imenitia kichefuchefu kwa kweli
 
Mi namuamini sana Mkuchika nashangaa hujamuweka kwenye list huyu jamaa anafanana na mkapa anaweza fanya maamuzi tofauti ni kwamba yeye haibi hata kidogo. Kwa hiyo anatufaa sana
 
26. Dr. S. Kawambwa
Huyu ni kiongozi mzuri sana, tatizo jina! Watani wake fulani niliwasikia mitaani wakitamka jina lake 'Shukuru Kawa Mbwa'. Hebu fikiri wapinzani wake wa kisiasa wakjidai nao ni watani, wakawa wanasema "Shukuru kawa nani?" kila jina la Mtukukufu Rais Kawambwa linapotajwa, huoni hio itahatarisha hali ya amani, umoja, ushirikiano na mshikamano, vilivyojengwa kwa karne nyingi hapa nchini!? Wachora katuni nao wakijumuika kumchora kageuka mbwa, patachimbika!

Jambo la kushukuru ni kwamba watu wa pwani ni wazoefu wa masikhara, ndio maana wanaruhusu sana Demokrasia, tofauti na wale wa bara, hivyo utani wowote dhidi ya jina lake hautaathiri fursa ya kuchaguliwa. Tumchague Rais Shukuru Kawambwa!
 
[/color]

hawa watu uliowaorodhesha hapa ni kina nani na kwa nini unadhani wanastahili kuwa kwenye orodha ya watu ambao wanaweza kuendesha nchi hii. Mimi nadhani yeyote anaweza kuongoza as long as amechaguliwa na wananchi... Hapa tanzania yeyote anaweza kuwa rais hata mie naweza! Hii orodha imekusanya hata machizi, ghosts, n.k. Imenitia kichefuchefu kwa kweli

ndo wamepitishwa by know
 
Back
Top Bottom