Recent content by chamng

  1. C

    Loan %

    1852500+200000+620000 utakachokipata chukua loan amount yako utoe..itakuwa ada..then % huwez shindwa ku calculate...
  2. C

    wale wa ifm karibun xana

    prezidaa... vp ulipaji wa ada hapo kama unamkopo?/.... nackia et hawatambui mkopo mpka bdae sana gvt itakaposend hela..je kuna ukwel hapo???
  3. C

    Millard Ayo vs B 12

    haya ni majembe Tanzania kwenye tasnia ya uandishi wa habar ...je unampa nan shavu kat yao???
  4. C

    Kupata loan kulisababissha ku post ujinga jamvini...

    mm ndiye niliyeandika hii thread " kwa kupata loan naipigia CCM kura " watu waliwaka na mm wengine walinitukana na wenye busara walinielewesha kuwa loan ni haki yangu.....NAIFUTA kauli yangu...ilikuwa furaha 2 kupata loan coz course zangu zilikuwa NON PRIORITY ..
  5. C

    Wana-IFM tujuzane kwa haya machache.

    hivi wakuu ...field za ifm n mwka wa kwaza na wapili...swali langu ni kwamba. tutacalculate vp %..??? nina 3392500... field tutapewa na cc pesa? kwa anayejua plz..
  6. C

    Samahani kwa kashifa nilizozitoa dhidi ya ifm

    nilivyosoma ile thread kwel ulinivunja moyo ....tuwe makini na thread tunazoziweka coz JF ni source of information kwa watu wengi....
  7. C

    Wa mwisho kukomenti hapa atashinda sh 200,000.

    acha ujinga ww....ww n mbulula...kacheze hako kamchezo fb
  8. C

    Bodi ya mikopo ya elimu ya juu kuanza kupeleka fedha za waliokopeshwa vyuoni wiki ijayo

    unahama ifm unaamia SAUTI???? very strange!!! ucwaze loan yko itapelekwa saut snc transfer ilihusisha tcu....
  9. C

    Ugomvi Arusha kati wamasai na waarusha

    wanaopigana ni wamasai na wameru ....wakigombania MAJI ......amepotosha jamii...mtoa mada.
  10. C

    Wana-IFM tujuzane kwa haya machache.

    swala la bodi wanalizungumziaje mdau?
  11. C

    Wana-IFM tujuzane kwa haya machache.

    nina wasiwasi kidogo na IFM....kwnye joining instruction yao cjaona wakiizungumzia HESLB... cha msingi tuende na 1050000 kuwasikilizia kwanza na pia kama 400000 ya chumba na bado hela ya meals tukiwa tunasubiria BOOM.... na pia bado cjaelewa kama hela tulizopewa kuna field ndan yke coz pale...
  12. C

    Hivi Mgao umeanza tena kimyakimya?

    Wanawaponda waandishi wa habar kwa kupotosha watu kuwa kuna mgao wa Umeme.... hili swala ni kwel kuna mgao wa chini chini ...eti wanasema wanabadilisha nguzo...inakuingia akilini umeme kukatwa saa 6 usiku???? nguzo gani wanabadilisha usiku??? MJUMBE AUWAWI....
  13. C

    Field field field

    asante mkuu nimekusoma....
  14. C

    Field field field

    --je ni kila facalty wanafanya field kila mwka??? -- na kama una loan wote mtapewa 600000?? --je course zip zenye field?? MSAADA WENU NI MUHIMU
  15. C

    kwa kupewa loan... naipigia ccm kura alafu naupigia mlima Kilimanjaro kura

    msimamo wangu upo palepale ...movement for CCM japo siwapend..
Back
Top Bottom