hujui hesabu au tatizonini??
hujui hesabu au tatizonini??
kuuliza c ujinga broo
acha uvivu wa kuandika wewe c ndo nini hicho? kuuliza sio ujinga lakini angalia na chaluuliza siamini kwa mwanafunzi anae kwenda kusoma computer engineering ashindwe kufanya hesabu ndogo za kutoa,kujumlisha, kugawanya na kuzidisha eti umemaliza form six hebu acha kudhalilisha elimu yetu, jukwaani kumejaa nyuzi kibao zinazo elezea namna ya kokotoa hizo % tuseme huzioni au tatizo ni nini??
hebu kua msomi japo kwa muda, ona hata aibu kwa mwanafunzi ulie soma Mathematics A-Level unauliza swali kama hili?? sio siri umenihizunisha sana, hapo unategemea uwe engineer kweli?? eee Mungu tusaidie taifa hili maana hii inahuzunisha sana.
SAMAHANI KAMA NIMEKUKOSEA MKUU.
najarib kukuheshimu lkn naona inashindikana, wakati mwingine jaribu kuchangia jambo kwa mawazo kutoka ktk 'kichwa' na c 'makalio' kama ufanyavyo sasa, na pia kama huna msaada juu ya hoja/mada iliyotolewa ni vyema ukapiga kimya, wakati mwingine itakugharimu. . . Samahani lakini
Wadau naomba mnisaidie ku kokotoa % nimepatiwa 3643500 ada 1020000 course Comp. Eng je hiyo ni % ngapi?
calculation ya %interest inategemea yafuatayo:-
1. Principal amount ya mkopo
2. Interest expense charged
3. loan duration
Kuna formulas mbili maarufu za jinsi ya kukokotoa interest:-
1. Simple interest formula A= PRT/100 where A= P+I, P= Principal, R = Rate, T= duration ( i.e. years or months)
2. Compound interest formula
A = P( 1+R/100)^T
bank nyingi zinatumia compound interest, nakushauri unapokopa kwenye hizi taasisi tafadhali waombe repayment schedule na uitazame kwa umakini kabla ya kukubali offer yao ya mkopo. hapa watanzania wengi ndio huwa wanaliwa na mwisho wa siku wanajikuta wanalipa riba kubwa mno.
Taja mkopo wako ni wa muda gani na nitajaribu kukokotoa riba kwa formula zote mbili hapo juu.
Nashkuru mchango wa investa umetosha. . . Mchana mwema
Makubwa haya!
Labda usome tena vizuri swali/issue ya mleta mada halafu uone kama jibu ulilompa linakidhi! Kama umefuatilia kwa karibu masuala haya ya mikopo kwa wanafunzi wa elimu ya juu, issue waliyonayo sio jinsi ya kukokotoa kiwango cha riba (interest) bali ni jinsi ya kujua mkopo alioupata ni asilimia ngapi (kuna wengine ni 100% na wengine chini ya hapo kwa viwango vya % tofautitofauti), ndio maana unaona amekwambia kiwango cha ada ya kozi yake na jumla ya mkopo aliopewa.makubwa vp mkuu? au unataka ile ya %Interest= Interest expense/ Loan amount
kama nikitumia hii napata 28% lakini ni kazi bure kama hujui duration ya mkopo ili upate ya mwezi au mwaka. Au wewe mkuu una njia mbadala utumwagie hapa jamvini?
Mhh, wasomi wa miaka hii ni JANGA kwakweli... SAMAHANI LAKINInajarib kukuheshimu lkn naona inashindikana, wakati mwingine jaribu kuchangia jambo kwa mawazo kutoka ktk 'kichwa' na c 'makalio' kama ufanyavyo sasa, na pia kama huna msaada juu ya hoja/mada iliyotolewa ni vyema ukapiga kimya, wakati mwingine itakugharimu. . . Samahani lakini
calculation ya %interest inategemea yafuatayo:-
1. Principal amount ya mkopo
2. Interest expense charged
3. loan duration
Kuna formulas mbili maarufu za jinsi ya kukokotoa interest:-
1. Simple interest formula A= PRT/100 where A= P+I, P= Principal, R = Rate, T= duration ( i.e. years or months)
2. Compound interest formula
A = P( 1+R/100)^T
bank nyingi zinatumia compound interest, nakushauri unapokopa kwenye hizi taasisi tafadhali waombe repayment schedule na uitazame kwa umakini kabla ya kukubali offer yao ya mkopo. hapa watanzania wengi ndio huwa wanaliwa na mwisho wa siku wanajikuta wanalipa riba kubwa mno.
Taja mkopo wako ni wa muda gani na nitajaribu kukokotoa riba kwa formula zote mbili hapo juu.
Wadau naomba mnisaidie ku kokotoa % nimepatiwa 3643500 ada 1020000 course Comp. Eng je hiyo ni % ngapi?
tuendelee kusubiri watoe wenyewe na c kuambiwa na hawa wanaobahatisha hukuWadau naomba mnisaidie ku kokotoa % nimepatiwa 3643500 ada 1020000 course Comp. Eng je hiyo ni % ngapi?
Mkuu nimerudi tena, Samahani kama nita kuudhi, kama nilivyo sema huto pata msaada kwa style na masomo hayo ni jambo la kushangaza sana,
:focus:
chukua 3,643,500
toa meals & Accommodation (1,837,500)
3,643,500-1,837,500=1,806,000
toa stationary (200,000)
1,806,000-200,000=1,606,000
kwasababu hufahamu pesa ya Special Faculty Requirements ni Tsh ngapi, na kwasababu ada na field vyote hutegemea % itakua vigumu kutambua umepata % ngapi,
kwa mathematics prediction ni kama 80% au 90%.(HONGERA)
nakushauri subiri mchanganuo wa mikopo kutoka chuoni kwa uhakika zaidi.
SIKU NJEMA
Duh kweli nimeingia chaka, sikusoma between lines. Mtoa pls ignore my previous post .............mkopo wa chuo nadhani unategemea pia na chuo chenyewe.