Tatizo lako na wengine ni kuzichanganya hizi kesi na kuiona kama moja au zinazoenda sambamba. Hizo ni kesi mbili tofauti. Kesi ya uchochezi ina dhamana , na Lissu amedhaminiwa. Sasa kama mtu amedhaminiwa anasikilizaje kesi yake kwa mtandao? Kesi ya uhaini haina shamans, hii sasa unaweza...
Ipo eneo la Makumbusho, imepakana na kijiji cha Makumbusho upande wa kushoto ukiwa unaelekea eneo la Victoria.
Ni kwa ajili ya viongozi na maofisa usalama na familia zao, ingawa nasikia wenye bima wanatibiwa.
Ni hospitali nzuri kwa maana ya huduma, vifaa na utaalamu. Inamilikiwa na serikali...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.