Recent content by chambuya

  1. C

    Tuhuma dhidi ya Mhe. Mbowe kupewa fedha: Hatua za kisheria kuchukuliwa

    Tuhuma dhidi ya Mbowe zapaswa kujibiwa na Mbowe mwenyewe name si msemaji was chama. Yeye pekee indie anayejua kilichotokea I we mafichoni ama hadharani.
  2. C

    Tuhuma dhidi ya Mhe. Mbowe kupewa fedha: Hatua za kisheria kuchukuliwa

    Tuhuma dhidi ya Mbowe zijibiwe n
  3. C

    Msekwa anaendeleza propaganda za kitoto za Dr Slaa na Ukatoliki!

    Hizi ni dalili za mfa maji. Nyerere aliwahi husema ukiona mwanasiasa anakimbilia udini ana ukabila ili kuhalalalisha jambo ujue amefilisika kisiasa. Mzee Msekwa amefika wakati aendeakapumzike ili abaki na heshima kidogo aliyo nayo kwa Watanzania. Na huyo ndie anaemekana kuwa mmoja kati ya...
  4. C

    Zitto ataja mawaziri mizigo

    Huko ni kupoteze mwelekeo. Badala ya kujibu hoja unakimbilia udini. Huku ni kungizab sumu mahala pasipo stahili.
  5. C

    Ndugai afichua siri ya CHADEMA

    Siku zote nilikuwa najua kuwa Mh. Ndugai ana uwezomdigo wa kujengahoja na kuwasilisha hoja. Lakini sikujua uwezo wake ni mdogo kiasi hiki. Inakuwaje mtu anaetetea hoja ya kutaka uwakilishi mpana bungeni usiozingatia itikadi awe na ajenda ya kutetea mamlaka ya chama chake kama kambi rasmi ya...
  6. C

    Asili Ya Green Guard Ya CCM na Changamoto Kwa CHADEMA

    Kazi nzuri sana. Inavyoelekea UVCCM wanajaribu kufanya yale yaliyofanywa na waanzilishi wao. Lakini ni vizuri wakatambua kuwa nyakati zimebadilika. Sasa Watanzania hususan vijana wanajitambua na kujua haki zao. Jaribio lolote la kujaribu kufifisha ukweli huo ni kama kujaribu kugeuza mtiririko wa...
  7. C

    Hawa wajasiriamali (CHADEMA) usipokuwa makini unaweza ukawaamini!

    Katika hili CCM wana ubora gani? Kumbuka ubora wa CCM haupimwi kwa uovu wa CDM
  8. C

    Zitto: Mshikamano au Uvumilivu?

    Kwa bahati mbaya watu wenye fikra zenye maono kama hizi ni wachache. Walio nazo wana uwezo mdogo wa kuzitafutia njia ya kuzitekeleza.
  9. C

    Reginald Mengi: Ipo siku Mafisadi wataongoza nchi

    Hii ni siri iliyowazi. Inavyoelekea siku hiyo haiko mbali. Tungoje 2015 tuone.
  10. C

    CHADEMA, huyu aweza kuwasaidia kesi ya Igunga!

    Wakati wote penye ukweli uongo hujitenga. Kama ilivyo mafuta kueleaa juu ya maji kwa bahati mbaya kati ya ukweli na uongo uongo saa zote huelea juu ya ya ukweli kwa hiyo huchelewa kujitokeza. Muda na subira ndivyo vitakavyoibua ukweli. Wapenda haki muwe na subira ukweli utadhihirika
  11. C

    Wachina kutegua kitendawili cha bomu Arusha, namba za bomu zimepatikana

    Hili ni jambo zuri. Tungoje matokeo ya uchunguzi wao.
  12. C

    Kwanini Lowassa anafaa kuwa Rais wa Tanzania 2015

    Kwanza atueleze hela hizo anazotoa kwenye hadhira mbalimbali za kuchangisha pesa anazitoa wapi. Hao rafiki zake anaodai ndio wanampa hizo pesa ni kina nani?. Wao wanashindwa nini kujitokeza na kujitangaza wenyewe badala ya kumtumia yeye?
  13. C

    Mkutano wa Mwigulu Kimandolu Arusha wageuka kilio

    Mfano mzuri wa siasa za maji taka za Tz
  14. C

    Tutaikataa rasimu ya katiba mpya itakayozinduliwa hivi karibuni - maalim seif hamad

    Haya ni mawazo ya wazanzibari, serikali ya Zanzibar au ya maalim Seif binafsi? Ni wazi kuwa mapatano ya CCM na CUF ni kama ya mbwa na paka wanyama wasopatana labda pale wanapolazimika kwa kufugwa na bwana mmoja-serikali ya maridhiano. Bwana akioteza uhai watarudia tena kuparurana kucha.
  15. C

    Dk. Slaa aungopea umma mjini morogoro

    Unayo hoja lakini kejeli si njia sahihi ya kuwasilisha hoja
Back
Top Bottom