Dr Matola PhD
Platinum Member
- Oct 18, 2010
- 61,430
- 108,591
Kama mpaka mshauri mkuu wa Chadema Kitila Mkumbo ushauri wake kwa chama anauleta hapa JF sasa unashangaa nini kwa Mzee tupatupa?Mzee Tupatupa mi nilidhani hii ingekuwa siri ya kesi na ingetokea kama supprise, sasa kwa kuliexpose humu sio supprise tena na jamaa watajipanga kuhujumu! Better ungefanya ushauli kwa meseji binafsi kuliko humu, manaake humu hata shetani hupitiapitia!