Ulukolokwitanga
JF-Expert Member
- Sep 18, 2010
- 8,397
- 7,979
Ataenda kuichoma hadi ICC kule The Hague. Kama kuua mnaona ni sifa eti manatuchoma sawa, your days are numbered.Mwigulu ni mwiba kwenu anawachoma kote kote majukwaani na mitaani.
Ataenda kuichoma hadi ICC kule The Hague. Kama kuua mnaona ni sifa eti manatuchoma sawa, your days are numbered.Mwigulu ni mwiba kwenu anawachoma kote kote majukwaani na mitaani.
Mwigulu ni mwiba kwenu anawachoma kote kote majukwaani na mitaani.
Itafika mahali SERIKALI itachoka na huu upuuzi wa MBOWE.
mwigulu ni mbulula na mvivu wa kufikiri hata mbinu zake ni za mwaka 1648.
unapayuka bure dada mayasa,,, kwani CDM kuna anaestahili kugombea uraisi 2015,, hebu mtaje tumsikie????Atangaze kuichukua fomu si sahihi kwa maana moja tu! Akichukua na akawa ndiye mgombea pekee wa CDM .... CCM wakiweka pingamizi ya umri wa mgombea ndio itakua mwisho wa CDM ktk uchaguzi huo ... wengi nje ya CDM mnapenda sana kumkweza Zitto na sijui kwanini amekua kipenzi wa wanaCCM .... Leo nimepata picha kumbe wanafahamu ili kuiondoa CDM kwenye kinyang'anyiro cha urais 2015
ni kuhadaa ulazima wa CDM kumteua Zitto kwa kila mbinu hata ukabila ili wanaCDM waamini hivyo na kumteua Zitto...!
Mshikamano au Uvumilivu? Hata msingi wa uvumilivu sasa una nyufa.
From Harmony to tolerance towards tension - political and religious. Sooner than later tribal. A nation in reverse gear..... Someone must put a stop. YOU
Zitto
Mingoi na Thatha: acheni kuchefua mtandao huu! Kama hamna rejoinders ambazo ni costructive kaeni kimya. Hapa hoja hujibiwa kwa hoja na sio uchwara wa mitaani!
Hiii ndio haswa anayoisema Zitto.Leo ZITTO amekuwa na busara kwenu wa CHADEMA kweli au unafiki? Ngoja atangaze kuchukua fomu ya urais tuone kama hamjaanza kujinyea hovyo.