Recent content by chambutilah

  1. C

    Poromoko kubwa la bei kwa Gari aina ya Brevis

    Zipo mkuu, japo sio nyingi lakini amini zipo.
  2. C

    Natafuta mtu wa kusogeza naye siku

    Seriously pm me ur no!
  3. C

    Tunauza kuku wa kienyeji, mayai, incubator na vifaranga

    Nashukuru sana mkuu,nilkuwa nasubr kwa hamu sana majibu japo hujataja mnaanzia wangap,nakuja wasap kwa maelezo zaid ikiwa ni pamoja na kuchukua hatua.
  4. C

    Tunauza kuku wa kienyeji, mayai, incubator na vifaranga

    Nmetembelea blog yenu nmehamasika km ni kweli mnafanya hayo na co kuvutia biashara,mm nmeweka kuku nyumban ila sifugi,kupitia bandiko hili nmehamasika kufuga.,naomba mnijibu haya;vifaranga bei gan na mnaanzia wangap?inachukua mda gan kuvipata tangu nilipoweka oda?kwa mm ambae siko dar iyo elimu...
  5. C

    Mafunzo ya kilimo cha kisasa cha greenhouse

    Ukitaka ugomvi na hawa watu waulize wanapofanyia hicho walichokiandika,kitu ambacho hawajui kilimo ni vitendo sio nadharia,hayo manadharia yamejaa huko google,youtube n.k.
  6. C

    Msimamo wako kiuchumi ndio fursa yako

    Niishie tu kusema asante,kwasababu siwezi kueleza jinsi ulivonigusa,nmejifunza kitu kikubwa sana,kwangu huu ni uzi bora kuliko nyuzi zote nilizosoma JF 2017,keep it up brother.
  7. C

    Uzi maalum wa kupeana Likes: Comment chochote upate "Like"

    Invoice tena?haya bhana kula like!
  8. C

    Uzi maalum wa kupeana Likes: Comment chochote upate "Like"

    Pay me back!nmeshatoa like za kutosha,nasubir zangu.
  9. C

    Uzi maalum wa kupeana Likes: Comment chochote upate "Like"

    Nasubir tu like twa asubuhi.
  10. C

    Boy friend wangu ni nini hiki tena?

    Wakuu mi naomba akirudi mnistue,sema mkuu@joseverest ungemwacha atiririke kdogo ili aumbuke vizuri,umemdaka juu kwa juu,akirudi nakupa hela.
  11. C

    Kwanini wanajeshi wanaita kazi za polisi ni za kike?

    We dogo mtoa mada kwanza omba radhi,ndo tuendelee kuchangia,coz hayo ni maneno ya babu yako co ya wanajeshi,yy kuwa mwanajeshi,haimaanishi ni msemaji wa jeshi.uwe na na adabu.
  12. C

    Vitendo SACCOS - kukopeshana bila riba

    Nmefuatilia mjadala huu kwa mda kidogo ili kujiridhisha,nmekuwa interested sn,pls dada zainabu bado nafasi za kujiunga zpo?nami nijumuike.
Back
Top Bottom