Recent content by chambalo kafao

  1. chambalo kafao

    Niwasiliane vipi na utumishi? Nimeonewa kwenye swala la ajira

    CONTACTS President's Office, Public Service Recruitment Secretariat, P.O. BOX 2320, Dodoma. katibu@ajira.go.tz +255 (26) 2963652
  2. chambalo kafao

    SENSA 2022-Ukubwa wa miji 53 ya Tanzania kwa kigezo cha idadi ya watu na makazi

    IFAKARA ni Town Council, sawa na KONDOA TC, nk. Sema zina idadi ndogo ya watu.
  3. chambalo kafao

    Kwanini CHADEMA wanawatukana sana watu wa kanda ya ziwa na kuwaita Sukuma gang?

    Na siyo Kanda ya Ziwa yote. Wale chawa tu.
  4. chambalo kafao

    Augustine Okrah, winga bora zaidi katika soka la Tanzania kwa sasa

    Uchambuzi wako ni wa kweli100%. Dogo ana speed kali sana lakini mipira mingi inapotea kwa sababu anatumia mguu mmoja. Na upande wa kulia hakuna mshambuliaji mwenye kasi kama yeye. Mipira mingi inapelekwa kwake na inakuwa mfu. MGUNDA AAMBIWE HILI.
  5. chambalo kafao

    Rais wetu akisafiri Marekani anatumia ndege zetu?

    Fuatilia safari za rais. Ndio Jibu Rahisi.
  6. chambalo kafao

    Nimesababisha kutosamehewa dhambi nimejamba wakati nikiungama mbele ya padri

    Kujamba si dhambi. Wala Padre hakutakiwa kuingilia kujamba kwako. Wote mliacha ya Ibada ya Maungamo ambalo ni swala la Kiroho na Kujikita katika Baolojia ya Mwili. Wote Mmtenda dhambi ya kufanya Maungamo Sanaa. Wewe nenda kaungame upya. Padre imekula kwakwe. Anatakiwa atafute padre mwengine ili...
  7. chambalo kafao

    Rais Samia ndiye Rais anayeenda kuiua CCM

    Mungu naye anaiona Nchi Hii. Tunamshukuru Yeye.
  8. chambalo kafao

    Yuko wapi Rais Magufuli? Msiache tetesi zienee. Kama anaumwa mnasema "ANAUMWA"

    Yani TZ imelipia Hospitali Yote [emoji12][emoji23][emoji12][emoji23] Sent from my TECNO AB7 using JamiiForums mobile app
  9. chambalo kafao

    Wabunge pazeni sauti kuhusu fedha kiduchu wanazopewa TARURA

    Kumbuka tu kuwa TARURA ni TANZANIA RURAL AND URBAN ROADS AGENCY. Kuwa inajumuisha na barabara za mijini, manispaa na majiji. BARABARA ZA TANROADS zina bajeti kubwa kwa sababu zinapitisha magari mengi na mizigo mizito. Sasa baada ya Elimu Hii Jenga upya hoja yako wataalam waweze kuchangia.
  10. chambalo kafao

    Katiba yetu na Sheria vinalindwa na Mamlaka gani hapa Tanzania?

    Ambapo kwa sasa hakuna Bunge na Mahakama bali kuna Serikali na Mawakala wake wanaoitwa Bunge na Mahakama. Hivyo Katiba iliyopo pamoja na mapungufu yake, hailindwi kwa sababu ulinzi wa Katiba unatokana na Bunge Huru, Mahakama Huru, na Wananchi Huru. Bila Uhuru huu hakuna Uzingatiaji wa Katiba...
  11. chambalo kafao

    Mhariri "Daily News" sasa unatia aibu! Yapi Merzeki na mradi wa Umeme , wapi na wapi?

    Blind leading the Blind.... Sent using Jamii Forums mobile app
  12. chambalo kafao

    Nahisi baba anataka kugawa urithi bila kunishirikisha. Naombeni msaada

    Siyo lazima. Kurithisha ni hiari ya mmiliki wa mali. Ipo mifano mingi inayoonesha mmiliki wa mali ana uhuru wa kugawa mali yake anavyotaka. Wewe badala ya kushughulikia mahusiano mema na mzazi wako, takwa la kidini, unashughulikia urithi. Umekosea. Na kwa Mungu umelaanika. Maana Umeshindwa...
  13. chambalo kafao

    GE2020 Wilfred Lwakatare kuombwa kugombea tena Ubunge kupitia CCM Bukoba

    SUBIRINI DEMOKRASIA KATIKA CCM MIAKA IJAYO (KAMA 20) Sent using Jamii Forums mobile app
  14. chambalo kafao

    Wabunge mnaohama vyama kabla ya bunge kuvunjwa mnapoteza haki zenu

    Ndipo Tunapodhihirisha kuwa wanasiasa wengi wa Tanzania [emoji1241] ni wachumia Tumbo tu. Hawana itikadi wala nia ya kuwakilisha wananchi na kuleta maendeleo kidemokrasia, kwa haki na kwa utawala bora. Hata hivyo wapo wachache wenye nia thabiti ya mageuzi. Vita itaendelea tu. Na wananchi...
  15. chambalo kafao

    Spika Ndugai: Wabunge watoro warejeshe fedha zote walizolipwa kuanzia Mei 1-17 jumla ya Tsh. Milioni 110

    SPIKA Amesema Perdiem. Yani posho ya kujikimu ukiwa nje ya kituo chako cha kazi. Hata Serikalini, mtumishi hawezi kusafiri bila kulipwa posho ya kujikimu nje ya KITUO cha kazi. Siyo SITTING ALLOWANCE au posho ya kuhudhuria kikao. Perdiem hulipwa kabla ya safari ili mtumishi akatekeleze jukumu...
Back
Top Bottom