DTV,Channel10,CTN na CEN miaka ya 90 kuanzishwa kwake mpk kuja kuuzwa kwake miaka ya2000 hivyo vituo vilikuwa chini ya Mhindi Mmoja anaitwa Ramesh Patel
Umenunua simu Mlimani City mnapopaamini ukapewa Simu fake touch inasumbua,mimi nimenunua Boom J8 Tunduma boda mwezi wa 5 sasa simu wala haina tatizo ipo safiii mi na touch tu
Daah hizi story za wake zetu kutupachikia watoto nizisikiapo nakosa amani,kwangu sioni mapenzi ata punje kutoka kwa mke wangu manyanyaso meng ndan ya ndoa leo mke wangu kajifungua ana mtoto hata mimi inanipa hofu juu ya huyu mwanangu smtym nasemaga mungu ndiye anajua ila nasema kuna dhambi wkt...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.