Recent content by chalantai

  1. C

    Laki tano tu unaweza badilisha historia

    Sikuwahi kudhani masanja ni mpuuzi kiasi hiki, kuna wazazi wa watu wanalipwa chini ya hiyo laki tano na wanasomesha watoto na wanategemewa na jamii zao, kupata kwako isiwe dharau kwa wenzako huyo aliyekupa hashindwi kukunyang'anya usidharau wasio nacho bwege wewe
  2. C

    Kazi ya polisi ni nini hapa uwanja wa ndege?

    Mkuu usibishe tu ili Mradi unaweza kubisha, wale polisi kwenye bunduki geti la kuingilia JKNIA ni mabingwa wa kuomba chochote, na hata aibu hawaoni
  3. C

    Ni Heka heka mitaani leo, walimu wamelipwa madeni yao yote + Posho ya Uchaguzi hatupumui

    Nathibitisha hili suala, niko stanbic bank tawi la mbeya, nimelipa leo madeni ya walimu wa halmashauri ya jiji la mbeya nina uhakika na hili
  4. C

    TBC yadanganya, hatua stahiki zichukuliwe

    Futa delete kabisa 2015 bye bye, tunatangaza ajira mpya
  5. C

    Kampeni za Urais: Nani wako nyuma ya Lowassa na kwanini?

    Tulia unyolewe, mwenyekiti wako alishakuambia ya kuambiwa changanya na ya kwako usipende ya kuambiwa na nape
  6. C

    Leo nimeshuhudia ukarimu wa watu wa Mbeya

    Pamoja na yote uliyosema huku mbeya ukiwa hushuriki misiba ya wenzako wanakuhesabia tu, siku ufiwe wewe ndio utajuta maana watakusaidia kila kitu kama hata kuchangia vibaba vya unga maharage na kuni na kuchimba kaburi lkn kuzika sasa makaburini makoleo yatafichwa na wewe ambae huzikagi wenzako...
  7. C

    Mbeya kuna nini leo? JWTZ watanda mji mzima

    Angalia taarifa za habari leo utaona, acha utoto
  8. C

    Mbeya kuna nini leo? JWTZ watanda mji mzima

    Jamaa wana operation maalum leo vyombo vyote vya usafiri vinakaguliwa.
  9. C

    Wema Sepetu, Sabuni utakayoogea ndio utakayonukia

    Wallah CCM wakimpa ubunge huyu kahaba anaethubutu kumjadili mume wa MTU hadharani kwenye TV ati amenyang'anywa bwana ake, na mwenye mume asemeje sasa? Na huyo mama yake hata aibu haoni anamtukana kabisa kajala kama anachofanya mwanae ni halali, kwa vurugu zote alizofanya, kupigana global...
  10. C

    Tuwe makini sana na benki za Mlimani City - DSM

    Mbona kimya @ Ally kombo au unapiga mix ya ngada na ganja ndio urudi? Maliza uje le akili ndogo, am humbled kubishana nawe leo akili ndogoz kama kinaniliu
  11. C

    Tuwe makini sana na benki za Mlimani City - DSM

    Hujui uongeacho bhangi na viroba vinakusumbua
  12. C

    Tuwe makini sana na benki za Mlimani City - DSM

    We pimbi kweli mm ni mtumishi wa benki ya stanbic tawi la mbeya, jamiiforum ya sasa hivi weledi wa watu ni mdogo , umizeni vichwa kwa kufanya japo utafiti mdogo don't jump to stupid quick conclusions, Nina wasiwasi na uelewa wako
  13. C

    Tuwe makini sana na benki za Mlimani City - DSM

    Leo ndio nimejua ukweli, nilidhani jamiiforum ni home of great thinkers lkn kumbe ni otherwise
  14. C

    Tuwe makini sana na benki za Mlimani City - DSM

    Wanaenda mlimani city kuuza sura
  15. C

    Tuwe makini sana na benki za Mlimani City - DSM

    Sorry niko Stanbic mbeya branch ila ni mteja wa crdb for my personal account @ mandule
Back
Top Bottom