Recent content by Chakulinga

  1. Chakulinga

    JamiiForums Tanzania Stand ya Magufuli itakufa kwa maamuzi haya mkuu wa mkoa!

    Nadhani hiyo namba 2 haina ukweli kabisa. Madawa ya kulevya hayawezi kukoma kwa sababu ya mabasi hayaendi Stendi ya Magufuli. Ni kana kwamba madawa yanapitia tu kwenye mabasi. Wauza madawa wanapita hata kwenye magari binafsi na hata ya serikali na ndege.
  2. Chakulinga

    JamiiForums Tanzania Kwa alichokifanya huyu kijana, mimi ningekuwa mzazi wake ningejiuzulu kupisha hatua za kisheria kuchukuliwa

    Kwani hata bila kujiudhulu hatua za kisheroa haziwezi kuchululiwa? Mbona Baba yale wala sio MKUUUBWA kihiiiivyo kuzuia mifumo ya haki kufanya kazi? Kwanza tu hata kumkamata ni dalili kuwa inawezekana kushughulikiwa na haki ikatendeka.
  3. Chakulinga

    JamiiForums Tanzania Job Yustino Ndugai yuko wapi

    Yuko kwenye matibabu India
  4. Chakulinga

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Lipumba: Odinga ananipa moyo kurudi ulingoni 2025

    Pole sana kama unategemea good treatment kutoka kwa home boy.
  5. Chakulinga

    JamiiForums Tanzania Fahamu kwa kina kuhusu suala la nyongeza ya mshahara!

    Wewe ndio hovyo kabisa. Sasa hapo umetufumbuaje akili? Nilidhani unatoa somo la uhakika kumbe unataka kusifia tu!
  6. Chakulinga

    JamiiForums Tanzania Rais Samia amteua Jacob John Mkunda kuwa Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi (CDF)

    Kwa wale wasioelewa, Lt General anakuwa mmoja ktk jeshi la TZ. Kwa hiyo sio kweli kuwa amewaruka Lt Generals akamchukua Major General.
  7. Chakulinga

    JamiiForums Tanzania Mahakama itoe semina maalumu kwa waandishi wa habari namna ya kuripoti habari za kimahakama maana wanapotosha na kuzua taharuki katika jamii

    Mimi nilidhani uzi wako umelenga kutoa elimu hiyo kumbe inaonekana hata wewe hujui. Kama unategemea mahakama kutoa elimu hiyo usiyoijua, umejuaje kuwa waandishi wanapotosha umma?
  8. Chakulinga

    JamiiForums Tanzania Ujumbe kwa Dkt. Slaa: Uungwana ni kitendo, jitokeze ukamtembelee Freeman Mbowe

    Mbona haikumfunga jela kama alikuwa na hatia?
  9. Chakulinga

    JamiiForums Tanzania Taarifa za Ikulu kwa lugha ya Kiingereza za nini wakati sisi ni Waswahili asilia?

    Lakini amekuwa bilingual, yaani anaandika Kisw na Eng. Kwa hiyo kwangu mimi sioni tatizo.
  10. Chakulinga

    JamiiForums Tanzania Rais Samia: Walimu mambo mazuri yanakuja, Bandari ya Musoma kujengwa

    Mbona hiyo neema siioni kwenye maelezo yako? Madarasa mampya ndio neema kwa walimu?
  11. Chakulinga

    JamiiForums Tanzania Dodoma: Zungu ateuliwa na CCM kuwania kiti cha Naibu Spika wa Bunge la Tanzania

    Kwani kina shida gani kuwa chini ya kiongozi mwanamke?
  12. Chakulinga

    JamiiForums Tanzania IGP Sirro: CHADEMA wanamuona Mbowe Malaika hawezi kosea, ushahidi tunao

    Anatumia kichwa cha chini!
Back
Top Bottom