Makanyaga
JF-Expert Member
- Sep 28, 2007
- 10,325
- 6,848
Mimi siku kitokea nikaishi kwenye nchi ambayo watu wake wanaweza tu kuwa wanapewa kesi za namna hii bila kuwepo ushahidi wa kutosha, lazima nihame nchiKesi ya Mchongo
Mimi siku kitokea nikaishi kwenye nchi ambayo watu wake wanaweza tu kuwa wanapewa kesi za namna hii bila kuwepo ushahidi wa kutosha, lazima nihame nchiKesi ya Mchongo
Unashindwa kutofautisha kati ya Mtuhumiwa na Mhalifu?!Mhalifu ni muhalifu tu.
Mbowe na wenzake ni wahalifu/watuhumiwa kama walivyo wahalifu wengine.
Mbowe sio mtakatifu ni binaadamu kama wengine.
Sawa basi wacha tusema hivi;Unashindwa kutofautisha kati ya Mtuhumiwa na Mhalifu?!
sote tunasubiria mahakama itende haki.Haya ni maoni yako mkuu....sisi tunasubiri uamuzi wa mahakama
Mbona umeshamuhukumu?sote tunasubiria mahakama itende haki.
maana watanzania wapenda amani kamwe hatuko tayari kuona mtu yeyote au kikundi cha watu kwa uchu wake/wao na tamaa ya kutafuta madaraka anahatarisha Amani yetu.
Kesi hata nusu haijafika, ushatoa hukumu....
Kumbe mmeshathibitisha?! Amefungwa miaka mingapi?! Au hukumu mnaitoa lini?Ushahidi unaotolewa kila kukicha kuthibitisha jinsi Mbowe alivyoshiriki kwenye njama za kufanya ugaidi zinatuacha midomo wazi.
Huyo kajaza mavi kichwaniSijui unafikiri kwa kutumia nini