Kaka Mshana. Kwanza nikupongeze kwa uwezo wako mkubwa saana wa kujieleza.
Kiu yangu itatulia kama ungejibu post 93 kwa kirefu
Sent using Jamii Forums mobile app
Inasikitisha sana. Nimeumia sana Lissu ana kiwango cha juu sana ambapo vichwa vya kawaida ni ngumu kumuelewa anachozungumza. Naamini Mungu atamponya. Sitaki kuamini kwamba kwa hili ndo watakua wamemnyamazisha nafikiri ndo watakua wamemuongezea munkari. Viva Lissu VIVA my brother from another...
Kila mtu ana uhuru wa kutoa mawazo yake hapa na ni kwasababu ID zinaficha nyuso zetu. Ukweli anayepinga mambo anayoyafanya Magufuli atakua nimiongoni mwa wanufaika wa mifumo mibovu.
Hivi hawa wafanyakazi walikua na vyeti feki mnaona ni sawa kiwepo kwenye utumishi. Mimi ningekua na nafsani ya...
Kikore: Una elimu nyingi sana ungetumika vizuri taifa lingefaidika.
Lakini pia umetusahau sana ndugu zako huku nyumbani urudi basi kutukomboa maisha magumu.
"Thela vetuti elimu bure mirao ni ngthu avae"
Ukweli kitoka moyoni mwangu mimi bado nakubaliana na Makonda. Hayo mengine ya vyeti hayatusaidii.
Kwa maneno hayo namuona Makonda kama kiongozi ambaye hajawahikutokea Tanzania. Ana udhubutu. Haya mambo ya vyeti yameanza kunipa wasiwasi kua huenda ni vita dhidi ya harakati zake.
Kama kweli...
Pia dada yangu FaizaFoxy hawa jamaa ukweli wanaujua ila hawataki tu kuufuata. RC katika madundisho yao wanausoma uislam.
Ila kwa heshma kubwa nakupongeza dada faizaFoxy Allah akulipe kwa jitihada zako unazozifanya
Muislam akisoma na akatekeleza uislam wake utasikia mdini.
Mifano ni Dr. Dau. Marehem Kigoma Malima na naamini wapo wengine wengi amvao vita dhidi yao inawarudisha nyuma ila muda utaongea. La misingu tusome tupunguze kulalama.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.