Habari za muda huu watu wangu wa nguvu kabisa
Hili ni jukwaa ambalo kwakweli nikitafuta maelezo kuhusu kitu flani lazima nipate.
Naomba msaada wa mwenye kujua aina hii ya baiskeli
Gharama yake used na mpya,
Upatikanaji wake wa spare,
Specification zake.
Maana nina taka ninunue baiskeli ya...
Naomba ni pm nikupe mbinu ya kubeti na kushinda mkeka
Hata mmi nipo kma wewe nasoma chuoni ila nahangaika sana hela hamna
Mwezi sasa tangu nmejua hii mbinu aisee kubeti ni kutamu
Ukiona utapeli pia unaweza acha.
Sitaki pesa yako wala
Ni pm tu mzee.
Wewe subiri majibu acha kusingizia mtu flani.
Alafu mbona unataka kusoma diploma huku umefaulu vizuri advance level.
Ningekua wewe ninge omba kozi za pale sua zina future za kujiajijiri na kuajiriwa mbeleni.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.