Picha siko wazi mkuuHv we Ni wakike au wakiume?!
Tuanzie hapo kwanza
Boss umenena fact nduguSomething is better than nothing.
Ganako secondary huko karatuJitahidi tu kusoma
Unasoma shule gani boss?
Wa kiumeeeHv we Ni wakike au wakiume?!
Tuanzie hapo kwanza
Naona bado unakua, leo umeweka picha yake kesho ukikua utaanza kuikosoa serikali ya dikteta .Samahani mimi ninasoma HGK lakin sijui nitakuwa Nani hapo baadae nilikua naomba mnipe ushauru ndugu zangu View attachment 1928372
Niitoejeeee?Naona bado unakua, leo umeweka picha yake kesho ukikua utaanza kuikosoa serikali ya dikteta .
Yani wakifukua kaburi watakutana na hii picha, then utadakwa kirahisi kama kuku.
dah!Si kwako tu hii changamoto cha wanafunzi wengi ni hatari mana unakuwa huna kitu kinacho kudirect unaenda tu.Samahani mimi ninasoma HGK lakin sijui nitakuwa Nani hapo baadae nilikua naomba mnipe ushauru ndugu zangu View attachment 1928372
HGK anakujaje unesi? Atleast you have found a reason to enjoy what you do....even if it is a little twisted.Dogo life is not fair njoo unesi tuchungulie uchii utafaidi
Mkwara mbuziNaona bado unakua, leo umeweka picha yake kesho ukikua utaanza kuikosoa serikali ya dikteta .
Yani wakifukua kaburi watakutana na hii picha, then utadakwa kirahisi kama kuku.
Hujui utakua nani ulitegemea nn ulipoichagua!?Samahani mimi ninasoma HGK lakin sijui nitakuwa Nani hapo baadae nilikua naomba mnipe ushauru ndugu zangu View attachment 1928372
Yanga utawajua tuUtakua mlevi
-Kijana jua tuu kwamba bongo ajira zipo chache sana na kama hauna connection hali inazidi kuwa ngumuSamahani mimi ninasoma HGK lakin sijui nitakuwa Nani hapo baadae nilikua naomba mnipe ushauru ndugu zangu View attachment 1928372