Najaribu kuwaza kwa sauti.
Je ni sawa mtu kusema chochote kwa lugha yoyote kwa kisingizio cha habari za Corona? Kuna wadau wengi wanamtukana Mhe. Rais matusi mazito Mazito kwa hatua za mapambano ya COVID-19. Hii kwa maoni yangu siyo sawa.
Mwandishi husika amefungiwa na mamlaka za Serikali ya...
Imeelezwa kuwa Tanzania ilikuwa sahihi kuwa na bifu na kampuni ya Acacia Minining ambayo haikutimiza wajibu wake ipasavyo.
======
TANZANIA “had a legitimate beef” in its dispute with Barrick Gold subsidiary Acacia Mining and the solution now reached “… would make Africa a very different place...
Nimefuatilia kwa ukaribu mwelekeo wa sera za Marekani hususan kuanza kuweka vikwazo kwa wanasiasa/viongozi wa Tanzania kutemebela nchi yao na kupiga marufuku WATZ kuomba green card kwa njia ya bahati nasibu.
kuna uwezekano mkubwa wa watu wengine kuendelea kuongezwa kwenye Orodha ya kuzuiwa...
Mi naamini huo ni Uhamisho wa kawaida tu kama uhamisho mwingine, Tena wameenda sehemu nzuri tu kikazi. Kwanini walalamike kuhamishwa UDOM kama hawana maslahi binafsi?
Hizi habari tuwe tunazisoma with a Positive mind, msiingize mambo ya ukabila na udini. You are killing the vibe of making...
Sababu halali ya kuvunja ndoa in uzinifu tu. soma Mat 5:31, 32
31 Imenenwa pia, Mtu akimwacha mkewe, na ampe hati ya talaka;
32lakini mimi nawaambia, Kila mtu amwachaye mkewe, isipokuwa kwa habari ya uasherati, amfanya kuwa mzinzi; na mtu akimwoa yule aliyeachwa, azini.
Pia soma Mat 19:3-12...
Kama wewe kweli ni Mkristo tafakari maneno haya kutoka 1 Kor 7 : 1-16
Maagizo kuhusu Ndoa
1Basi kwa habari ya mambo yale mliyoandika, ni heri mwanamume asimguse mwanamke.
2Lakini kwa sababu ya zinaa kila mwanamume na awe na mke wake mwenyewe, na kila mwanamke na awe na mume wake mwenyewe...
Usifanye maamuzi yoyote ukiwa na hasira au hamaki.
Mbona kuna watu wameoana ndoa za bomani wakati mmoja ni mkristo na mwingine muislam na wanaishi vizuri tu?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.