Recent content by chagonjam

  1. chagonjam

    Mapambano ya Corona: Amnesty International yasema Serikali ya Tanzania inaminya habari

    Najaribu kuwaza kwa sauti. Je ni sawa mtu kusema chochote kwa lugha yoyote kwa kisingizio cha habari za Corona? Kuna wadau wengi wanamtukana Mhe. Rais matusi mazito Mazito kwa hatua za mapambano ya COVID-19. Hii kwa maoni yangu siyo sawa. Mwandishi husika amefungiwa na mamlaka za Serikali ya...
  2. chagonjam

    Tanzania ilikuwa sahihi kuibana Acacia

    Imeelezwa kuwa Tanzania ilikuwa sahihi kuwa na bifu na kampuni ya Acacia Minining ambayo haikutimiza wajibu wake ipasavyo. ====== TANZANIA “had a legitimate beef” in its dispute with Barrick Gold subsidiary Acacia Mining and the solution now reached “… would make Africa a very different place...
  3. chagonjam

    Mwangwi wa "Travel Ban" na Ubeberu wa Marekani

    Issue ni uzalendo kwa nchi yako kwanza. Tupingane kwa hoja humu ndani. Kupeleka taarifa kwa mataifa ya nje ni usaliti
  4. chagonjam

    Mwangwi wa "Travel Ban" na Ubeberu wa Marekani

    Nimefuatilia kwa ukaribu mwelekeo wa sera za Marekani hususan kuanza kuweka vikwazo kwa wanasiasa/viongozi wa Tanzania kutemebela nchi yao na kupiga marufuku WATZ kuomba green card kwa njia ya bahati nasibu. kuna uwezekano mkubwa wa watu wengine kuendelea kuongezwa kwenye Orodha ya kuzuiwa...
  5. chagonjam

    Uonevu dhidi ya Waislam UDOM: Msikiti wavunjwa, wafanyakazi wanataaluma 11 wahamishwa

    Mi naamini huo ni Uhamisho wa kawaida tu kama uhamisho mwingine, Tena wameenda sehemu nzuri tu kikazi. Kwanini walalamike kuhamishwa UDOM kama hawana maslahi binafsi? Hizi habari tuwe tunazisoma with a Positive mind, msiingize mambo ya ukabila na udini. You are killing the vibe of making...
  6. chagonjam

    Mtambo Mpya wa Ufuatiliaji Mawasiliano nchini (TTMS): Kwanini sasa? Nini kipya?

    Mjomba hii sio Internet traffic monitoring ni telecom traffic monitoring, shule umesoma wapi wewe, chooni?.
  7. chagonjam

    Rafiki wa kishua anaibiwa

    Rafiki wa kweli husema ukweli na kuacha unafiki. Ukweli utajulikana tu, na akijua kuwa ulikuwa unajua itakuharibia zaidi.
  8. chagonjam

    Hatma ya ndoa yangu leo usiku imekuwa hatari kwa maisha yangu

    Sababu halali ya kuvunja ndoa in uzinifu tu. soma Mat 5:31, 32 31 Imenenwa pia, Mtu akimwacha mkewe, na ampe hati ya talaka; 32lakini mimi nawaambia, Kila mtu amwachaye mkewe, isipokuwa kwa habari ya uasherati, amfanya kuwa mzinzi; na mtu akimwoa yule aliyeachwa, azini. Pia soma Mat 19:3-12...
  9. chagonjam

    Hatma ya ndoa yangu leo usiku imekuwa hatari kwa maisha yangu

    Kama wewe kweli ni Mkristo tafakari maneno haya kutoka 1 Kor 7 : 1-16 Maagizo kuhusu Ndoa 1Basi kwa habari ya mambo yale mliyoandika, ni heri mwanamume asimguse mwanamke. 2Lakini kwa sababu ya zinaa kila mwanamume na awe na mke wake mwenyewe, na kila mwanamke na awe na mume wake mwenyewe...
  10. chagonjam

    Hatma ya ndoa yangu leo usiku imekuwa hatari kwa maisha yangu

    Usifanye maamuzi yoyote ukiwa na hasira au hamaki. Mbona kuna watu wameoana ndoa za bomani wakati mmoja ni mkristo na mwingine muislam na wanaishi vizuri tu?
  11. chagonjam

    Uzi maalum wa kupeana Likes: Comment chochote upate "Like"

    unapenda vitu vya bure?!
Back
Top Bottom