Sababu halali ya kuvunja ndoa in uzinifu tu. soma Mat 5:31, 32
31 Imenenwa pia, Mtu akimwacha mkewe, na ampe hati ya talaka;
32lakini mimi nawaambia, Kila mtu amwachaye mkewe, isipokuwa kwa habari ya uasherati, amfanya kuwa mzinzi; na mtu akimwoa yule aliyeachwa, azini.
Pia soma Mat 19:3-12...