Rafiki wa kishua anaibiwa

Rafiki wa kishua anaibiwa

aisee nipe namba ya huyo demu wa kishua, anagalau nizifaid kabla "baba mkwe" hajatumbuliwa
 
Rafiki wa kweli husema ukweli na kuacha unafiki. Ukweli utajulikana tu, na akijua kuwa ulikuwa unajua itakuharibia zaidi.
 
Mwambie tu huna cha kupoteza


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Habari zenu wadau,mimi ni binti nna marafiki zangu wawaili mmoja wa kishua sana mimi na mwingine ni maisha ya kati tu,kwenye urafiki wa watu watatu lazima kuna yule mmoja ye yupo nyumanyuma tu sasa huyo ndo mimi,

Kwanza kabisa hao wenzangu wawili warefu afu mimi kafupi ,pili wa kishua mweupe na huyo mwingine mweusi na wote ni warembo yani nikitembea nao mi naonekana kama msindikizaji na vile am ugly naachwaga tu kwny mataa muda mwingi, huyu wakishua na mimi we been friend for like 7 years,huyu mwingine tumuite Asha,yeye alikuja akatuta then akachukua nafasi yangu na mimi sio mtu wakutengeza new friends so nikastick tu hapo for company.

Story ni hivi huyu wa kishua ana mpenzi na wamekuwa wote kwa mwaka tu sasa na yeye ndo amekuwa akimuhudumia huyo mwanaume kwa asilimia sabini,mwanaume yeye anafanya biashara ya kutoa na kuweka pesa kwenye mitandao,na biashara hiyo huyu wa kishua ndo kampa mtaji.

Lakini sasa nimegundua kwamba kumbe huyu mwanaume na huyu rafiki mwingine walikuwa wapenzi kwa muda wa miaka kama 3 kasoro ila tu walitengana siwezi jua sababu but hiyo sio shida shida ni kwamba wameanzisha mahusiano upya ya kimyakimya wanamzunguka huyu wakishua kama mnavyojua wanasemaga mahawara hawaachani.

Wakishua licha ya kwamba now mimi sio her best friend kivile but ananijali nikiwa na shida mbalimbali na always amekuwa kati ya watu wanaonisaport sana kwenye mambo nayofanya,actually mimi nampenda sana kama mtu wangu wa karibu na kama dada coz kanizidi miaka 2,sasa baada ya kujua hii situation natamani kumwambia huyu wa kishua kuhusu huu mchezo anaochezewa but nashindwa nianzie wapi coz hapa kati nilikuwa najitenga nao mpka wakishua aliniuliza kama naona wivu kuhusu ukaribu wak ,kitu ambacho kama mwanadamu mwny hisia kiliniumiza so nawaza nikimwambia si atajua kweli nna wivu,!wadau ushauri wenu

Sent using Jamii Forums mobile app
Hiki kitu kimewahi kunitokea, best yangu wa nguvu alinichukulia boyfriend wangu na baadae tuligombana mwishowe tulipoteza wote. Urafiki uliisha siku hiyohiyo na kila mtu na 50 zake. Wanawake sijui tukoje, yani mwenzio yupo pale nawe unajichomeka hapo hapo. Mwambie tu kinuke shoga yangu maana best ataletewa magonjwa na mahamuma arudiaye makombo.
 
Habari zenu wadau,mimi ni binti nna marafiki zangu wawaili mmoja wa kishua sana mimi na mwingine ni maisha ya kati tu,kwenye urafiki wa watu watatu lazima kuna yule mmoja ye yupo nyumanyuma tu sasa huyo ndo mimi,

Kwanza kabisa hao wenzangu wawili warefu afu mimi kafupi ,pili wa kishua mweupe na huyo mwingine mweusi na wote ni warembo yani nikitembea nao mi naonekana kama msindikizaji na vile am ugly naachwaga tu kwny mataa muda mwingi, huyu wakishua na mimi we been friend for like 7 years,huyu mwingine tumuite Asha,yeye alikuja akatuta then akachukua nafasi yangu na mimi sio mtu wakutengeza new friends so nikastick tu hapo for company.

Story ni hivi huyu wa kishua ana mpenzi na wamekuwa wote kwa mwaka tu sasa na yeye ndo amekuwa akimuhudumia huyo mwanaume kwa asilimia sabini,mwanaume yeye anafanya biashara ya kutoa na kuweka pesa kwenye mitandao,na biashara hiyo huyu wa kishua ndo kampa mtaji.

Lakini sasa nimegundua kwamba kumbe huyu mwanaume na huyu rafiki mwingine walikuwa wapenzi kwa muda wa miaka kama 3 kasoro ila tu walitengana siwezi jua sababu but hiyo sio shida shida ni kwamba wameanzisha mahusiano upya ya kimyakimya wanamzunguka huyu wakishua kama mnavyojua wanasemaga mahawara hawaachani.

Wakishua licha ya kwamba now mimi sio her best friend kivile but ananijali nikiwa na shida mbalimbali na always amekuwa kati ya watu wanaonisaport sana kwenye mambo nayofanya,actually mimi nampenda sana kama mtu wangu wa karibu na kama dada coz kanizidi miaka 2,sasa baada ya kujua hii situation natamani kumwambia huyu wa kishua kuhusu huu mchezo anaochezewa but nashindwa nianzie wapi coz hapa kati nilikuwa najitenga nao mpka wakishua aliniuliza kama naona wivu kuhusu ukaribu wak ,kitu ambacho kama mwanadamu mwny hisia kiliniumiza so nawaza nikimwambia si atajua kweli nna wivu,!wadau ushauri wenu

Sent using Jamii Forums mobile app
Ushauri wangu tulia tu usiwaambie mambo yatajianika yenyewe dunian hakuna siri

Sent using Jamii Forums mobile app
 
....ya NGOSWE mwachie NGOSWE au utakuja juta kwa kuambiwa ni wivu wako tu ndiyo unakusumbua ili uwavuruge.

Habari zenu wadau,mimi ni binti nna marafiki zangu wawaili mmoja wa kishua sana mimi na mwingine ni maisha ya kati tu,kwenye urafiki wa watu watatu lazima kuna yule mmoja ye yupo nyumanyuma tu sasa huyo ndo mimi,

Kwanza kabisa hao wenzangu wawili warefu afu mimi kafupi ,pili wa kishua mweupe na huyo mwingine mweusi na wote ni warembo yani nikitembea nao mi naonekana kama msindikizaji na vile am ugly naachwaga tu kwny mataa muda mwingi, huyu wakishua na mimi we been friend for like 7 years,huyu mwingine tumuite Asha,yeye alikuja akatuta then akachukua nafasi yangu na mimi sio mtu wakutengeza new friends so nikastick tu hapo for company.

Story ni hivi huyu wa kishua ana mpenzi na wamekuwa wote kwa mwaka tu sasa na yeye ndo amekuwa akimuhudumia huyo mwanaume kwa asilimia sabini,mwanaume yeye anafanya biashara ya kutoa na kuweka pesa kwenye mitandao,na biashara hiyo huyu wa kishua ndo kampa mtaji.

Lakini sasa nimegundua kwamba kumbe huyu mwanaume na huyu rafiki mwingine walikuwa wapenzi kwa muda wa miaka kama 3 kasoro ila tu walitengana siwezi jua sababu but hiyo sio shida shida ni kwamba wameanzisha mahusiano upya ya kimyakimya wanamzunguka huyu wakishua kama mnavyojua wanasemaga mahawara hawaachani.

Wakishua licha ya kwamba now mimi sio her best friend kivile but ananijali nikiwa na shida mbalimbali na always amekuwa kati ya watu wanaonisaport sana kwenye mambo nayofanya,actually mimi nampenda sana kama mtu wangu wa karibu na kama dada coz kanizidi miaka 2,sasa baada ya kujua hii situation natamani kumwambia huyu wa kishua kuhusu huu mchezo anaochezewa but nashindwa nianzie wapi coz hapa kati nilikuwa najitenga nao mpka wakishua aliniuliza kama naona wivu kuhusu ukaribu wak ,kitu ambacho kama mwanadamu mwny hisia kiliniumiza so nawaza nikimwambia si atajua kweli nna wivu,!wadau ushauri wenu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Achana na hiyo ishu kama ni lazima sana umueleze basi usifanye moja kwa moja, tengeneza mazingira ajue.
 
Kweli but naoana kama ndo nafanyiwa miye

Sent using Jamii Forums mobile app
Inauma sana kuona rafikiako anasalitiwa. Ila m naona ungemwambia ila utafte namna nzuri ya kumfikishia ujumbe siyo ukurupuke tu.
Kumbuka huyo rafkienu wa tatu waliachana na huyo jamaa miaka3 so huenda kashabanduliwa sana huko, elewa magonjwa n mengi so unaweza kumuokoa huyo rafki yako wa kishua na magonjwa na baadae akakuona we ni rafiki yake wa kweli sana.
Lakn usipomwambia then akagundua mwenyewe hakika atakuchukia mno na ww atajua n walewale.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom