Jamaa ulooleta mada hujatoa evidence za msingi ila umeonekana tu umelalamika kwa mihemko yako binafsi. Umesema makanisa ila hujasema ni nakanisa yepi, nadhehebu yapi na mifano japo ya nchi zilizofanya hivyo na ungefanya uchunguzi kidogo kujua wametumia biblia au miongozo ipi.. nextime njoo na...
Jiulize pia wale wanamuziki wanaojiita makomando wapo kwenye rank ipi.....anyway komando ni kozi tu yaihusiani na rank yyt jeshini so hata private anaweza kuwa komando akienda kozi hyo.
Mkuu nnavyojua mimi kuwa mwinyi ni raisi wa awamu ya pili tz bara. Ila ana asili ya visiwani ndo maana jamaa alisema vile.....kama nipo wrong nirekebishwe
Halafu hii habari ya john kufa imeibuka kama uyoga tu. Mbna hawakusema tangu alipifariki? Wameanza michezo yao ya midoli midoli hawa jamaa wanatugeuza kama watoto wenzao.
Wanakataana kauli zao wenyewe kwa wenyewe tena.. hii kauli ya watu kukunja mil40 kwa mwezi si aliitamka mtukufu mwenyewe jamani au kabda me sikumbuki vizuri wadau
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.