ndg hii haiwezekani kabisa, hatuwez kuchaguliwa rais na watu watano dodoma, tz hakuna amani, ni ujinga na upuuz wetu watz ila isingekuwa hivyo tungeshanyonga majizi kibao hapa, inawezakan vip watu wanaiba ela kwa magunia afu wanasema ni za mbona, hili linawezekana tanzania tu!