CCM maji yako shingoni

CCM maji yako shingoni

Kuonyesha kuwa hali si shwari ndani ya CCM baadhi ya Makada wake wameanza kukata tamaa kwani wananchi wanahoji Tania ya Mh. MKAPA kutumia matusi kuomba kura badala ya sera

Hali hiyo imewafanya baadhi ya makanda kumtaka aache kutukana kwani wananchi wanakerwa na matusi take ikizingatiwa alikuwa kiongozi wa taifa hili.
Uzee unamsumbua na unamwendea vibaya
 
Nakubaliana na Wewe kweli nimeamini Mwaka huu ccm wanaondoka wananchi wamewachoka kabisa
 
Baada ya kutafuna rasilimali za watanzania kwa ufisadi uliotukuka chini ya mbawa za Rais kikwete na familia yake, Ghalib S Mohamed Mwenyekiti wa kampuni ya Alosco inayomiliki makampuni mengine zaidi ya kumi ikiwemo Supermarket za Home Shopping Centre, sasa ndio ataongoza kamati ya ufundi ya wizi wa kura kuanzia tar 24 oktoba.

Ghalib akiwa pamoja na Faroukh Bagonza wa kampuni za mafuta ya TSN na Supermarket za TSN wame ratibu wizi wa kura kwa kuagiza masanduku yaliyo jaa makaratasi ya kupigia kura kutoka Msumbiji na vifaa vingine haramu vya kupigia kura ambavyo vimehifadhiwa kwenye Godauni (maghala) ya Faroukh Mtaa wa Gerezani, Mnazi moja.

Ghalib na Faroukh wakishirikiana na jangili mwenzao Abdulrahman Kinana wiki iliyopita wamenunua magari manne kutoka kampuni ya Toyota Tanzania Ltd iliyopo barabara ya Pugu. Magari hayo yatatumika kusafirisha makaratasi ya kura batili na kutumika kama magari feki ya wasimamizi wa kimataifa wa SADC. Mpango ni kupeleka gari mbili Zanzibar na mbili zitakuwa Tanzania Bara. Gari hizo aina ya Toyota Landcruiser Hardtop (2) zenye namba za usajili T 471 DFC na T 469 DFC zenye chasis namba TEEB71 – 90 - 7026583 na TEEB71 – 00 – 7026617. Pia wamenunua Toyota Hilux Double Cabin (2) zenye namba za usajili T 468 DFC na T 470 DFC zenye chasis namba AHTFR22G10 – 6105538 na AHTDR22G00 – 6105546.

Ghalib S Mohamed, fisadi na jangili ambae tangu rais Jakaya Kikwete aliposhika hatamu mwaka 2005, alipewa fursa za kufanya biashara bila kulipia ushuru bidhaa alizokuwa akiingiza nchini kwa ubia na familia ya Rais Jakaya Kikwete. Leo hii kupitia mianya hii ya kifisadi na unyonyaji wa jasho la watanzania, Ghalib ni moja kati ya matajiri wa kubwa Tanzania anae miliki Mali nyingi za kifahari, Majengo, Magari na biashara nyingi za nyuma ya pazia.

Ghalib ana miliki jumba lenye gharama ya bilioni 13 za kitanzania iliyo jengwa kwenye eneo la heka 11 huko Kinyerezi. Eneo hilo ambalo lilimefanya familia zaidi 33 kuhamishwa bila kibali maalum kwa ajili ya ujenzi wa jumba moja la mtu mmoja.

Ghalib huyu huyu ana miliki nyumba 4 Masaki na sasa ana malizia jumba lingine la kifahari mtaa wa Lincoln Masaki ambalo lina jengwa na wakandarasi kutoka china.

Ghalib ana miliki magari tofauti ya kifahari ikiwemo Rolls Royce, Bentley, Ferrari magari kadhaa aina ya Range Rover yenye thamani zaidi ya billioni 3 za kitanzania.

Kazi kubwa ya kifisadi ni ile ya usafirishaji bidhaa bila kulipa ushuru kupitia kampuni yake ya usafirishaji ya Silent Ocean inayosimamiwa na mdogo wake anaye itwa Salaah ambayo makao makuu yake yapo China. Salaah ambae kwa sasa amefanywa balozi mdogo wa Tanzania nchini China bila kuzingatia hiztoria yake ya uhalifu wa kutumia silaha na kutishia kuuwa watu kwenye kumbi tofauti za starehe, zaidi ya hapo salaah hana elimu wala historia ya kidiplomasia lakini uswahiba wa familia yao na JK umempa nafasi hii kubwa kabisa katika Taifa letu.

Leo hii Ghalib ndio nguzo kuu ya ufadhili wa CCM na familia za viongozi wa CCM. Kwa Lugha nyepesi, ghalib ndio anafanya mipango yote na mikakati ya CCM na Serikali iliyopo madarakani. Mkakati mkubwa alionao sasa ni huu wa kuartibu wizi wa kura ambao Ghalib na maswahiba wake wamemwaga pesa nyingi sana ili kufanikisha wizi mkubwa wa kura katika historia ya Taif hili wakijua dhahiri Magufuli hana asilimia 30 ya kura za Watanzania.
 
Kwa hadhi ya mzee Mkapa na hapa namwita mzee sio ati kwa vijisenti vyake bali hakika kiumri ni mzee, unapomsikia akitukana tena wakati anajua wazi kuwa dunia nzima inamwangalia na kumsikia, naona ccm tumekwisha. CCM wameona kuwa hawana tumaini hivyo wakaamua angalao, tushibe matusi tu.

Ndo maana hata yule mjukuu wa mkapa alipopewa nafasi ya kuwatukana babu zake, Magufuli alimpigia makofi. Sera ya matusi sijui inaleta maendeleo gani au inawasaidiaje vijana wetu waliokata tamaa na kuamua kubwia unga na kuwa makontena. This is a shame to this nation.

Naomba msamaha kwa niliyemwudhi
Ni kweli, CCM sasa maji yako shingoni. Si mkapa pekee anayehubiri matusi karibu kila anayesimama jukwaani, kwenye mitandao na hata redio na vijigazeti uchwara vinafanya kazi moja tu ya kutukana!
Ndiyo, CCM inaelekea kaburini kwani tuliyozowea kuyaona kwa baadhi ya wapinzani miaka ya nyuma sasa tunayashuhudia CCM! Baadhi ya wapinzani walikuwa wakikusanya watu kwa magari kuwapeleka sehemu walizofanya mikutano na kuondoka nao; na sasa ndiyo haswa kinachofanyika na CCM, hawawezi kufanya mkutano utakaovutia watu kwa hiyari hadi kulazimika kusomba watu toka hadi mamia ya kilometa, kuwalipia chakula na kuwapa nguo, kofia na hata fulana na kukodi wasanii mahiri nchini kwa gharama za mamilioni ili kuwavutia watu kwenye mikutano yao! Ilifanyika Mwanza, Dsm, Geita, Arusha, Moshi na karibu sehemu zote alizotembelea Maghufuli!
Baadhi ya wapinzani hapo nyuma walilaumiwa kwa umahalia na itikadi; CCM ya sasa inahubiri kwenye majukwaa wakisikilizwa na dunia nzima ati "Hatuwezi kuwapa urais wa Kaskazini" labda wakimaanisha CHADEMA na UKAWA!
CCM hii si ile aliyoiacha Nyerere, imetekwa na majangiri, majambazi, vibaka, vibakauchumi na hata wauza unga. Wapo waliotuhumiwa kujihusisha na biashara ya mihadarati ambao hadi leo ndiyo makada!
Si kazi ngumu kutabiri matokeo ya Jumapili ijayo ya 25/10/2015; yatakuwa sawa na yale waliyokuwa wakipata baadhi ya wapinzani waliokuwa wakisomba watu kuuhadaa ulumwengu juu ya kukubalika kwao. inashangaza kuona jinsi wapinzani walivyobadilika safari hii bila kutoa hata chembe ya tusi kwa CCM bali wanaendelea kumwaga sera zao.
CCM sasa wamepagawa; wanaahidi chochote hata mbingu! Maghufuli anaahidi kuigeuza Tanzania kuwa ya Viwanda, uongo ambao hata mtoto ataujua. Nyerere alitumia miaka zaidi ya ishirini kuweka misingi ya viwanda ambao manyang'au hawa waliibomoa kwa mwango mmoja tu na sasa wanaahidi kujenga upya kwa miezi isiyozidi sitini!
Wasubiri kuhukumiwa na umma walioubeza, kuudharau na kuupuuza hadi kuwaita malofa na wapumbavu.
Jumapili ijayo itaamua adhabu yao.
 
Dunia itatikisika CCM ikishindwa. I laughed and laughed and laughed. Mkapa comedian mzuri si haba.
 
Hivi MAGUFULI huwa hataki mabadiliko?

Ameyahubiri sana mabadiliko magufuli ndio maana akacopy ile M4C fake iliyobeba ujumbe wa mabadiliko.

Inaonekana mkapa hafuatilii kampeni za ccm anachojua yeye ni mkutano anaohudhulia tu vinginevyo asingemtukana Magufuli indirectly kama alivyofanya!
 
Hata Mapadlock anafanya hivyo hivyo... Au hujamsikiliza vzr majukwaani?
Mama kuomba kura siyo kazi ndogo hasa unapopambana na mpinzani bubu asiyejibu matusi na kashfa unazomrushia. Usidhani JPM anapenda kupiga push-up ni hali tu imemlazimisha.
 
Wamechelewa sana , hakuna namna ya kuokoa ccm kwa masaa haya machache yaliyobaki .
 
Mitaa mingi Imepambwa na bendera za ukawa.

Dalili ya mvua ni mawingu.
 
Hapo umegonga penyewe mkuu. Chief strategist wa kampeni za ccm ni hopeless sijapata kuona. Haya unayoyasema yalipaswa kuwa kwenye mabango yao nchi nzima.

Cha ajabu mabango yao yamejaa picha za mtu (ambaye hata ndevu hakunyoa kabla ya kupigwa picha) as is ccm haijawahi kuwa madarakani na hakuna ilichofanya kwa miaka 54.

Mnatuwekea mabango mpaka chooni na hayana content yeyote halafu mnatuambia hamna pesa za madawati,maabara na madawa? Ni mwendawazimu pekee ndio anaweza kufanya haya. Na kwa hili nimewachukia zaidi ccm.

hawa jamaa wamechanganyikiwa, wiki hizi mbili za mwisho wamehakikisha kila nguzo ya umeme hapa mjini na bendera ya ccm, shida zote za nini,mngetumia wananchi vizur msingehangaika hivi,
 
Back
Top Bottom