2009 NGOSHA alikuwa wizara gani ebu tukumbushane mi nakumbuka lkn sio ivyo wengi wanavyo zania,mwenye kumbukumbu nzuri anisaidie
Sent using Jamii Forums mobile app
Nimetaja uwezo kwa uchache inamaniisha chini ya 2wd sasa izo ni mtihani kwani unataka kulimia nini au mchicha?
Sent from my Y4 using JamiiForums mobile app
Nina mpango wa kukopa trekta au Mashine ya kuvunia mpunga lkn pesa zangu ni ml.30 Mashine zinauzwa ml.55@ 1 shida yangu nataka kujua mkoa gani naweza weka Mashine yangu au trekta langu likanisaidia kulipa mkopo kwa amani na kama ikiwezekana nipate mchanganua wa ukodishaji wa Mashine au trekta...
Mi nimefuatilia sabasaba bei sio hiyo kuna matrekta m.100 na mengine m 55 lkn swalaj yenye 4wd m 45 2wd m35 na aina zingine bila ya chochote nimecheki agri com na jkt pamoja na Jo deeper ndio bei izo kwa bei ulizo taja wewe ni vitrekta vidogo vidogo kuna mawakala wanakopesha lkn sijajua kwa...
Halima jina lililonivurugia ndoto zangu mpk sasa napambana ili ndoto zangu lkn bado sitolisahau kwa upuuzi alonitendea na ambao bado anaendelea kunitendea najuta kumfahamu
Hapa tatizo kusikiliza watu wa pembeni kwani kambi ya seif hakuna wasomi? Wanashindwa nini kukaa pamoja na kambi ya lipumba kuweka mambo sawa zaidi ya kinishiana vifua tu,Leo hii imefikia wanashauri na mpinzani wako MF.matatizo ya Yanga unamfata kaburu akushauri unategemea nini?Hakuna namna...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.