Habari za mida wakuu,
Najiuliza tangu juzi kumekuwa mtandao wa simu kwenye upande wa internet kuwa slow maana nna line 3 za simu tofauti na mara nyingi nakuwaga katikati ya mji so huwa natumia internet ila siku mbili hizi mitandao imekuwa slow hadi sielewi.
So najiuliza je ni hiyo central...
Hivi waandaji kwanini swala la lighting halikizingatiwa, pia wachekeshaji wetu wanang'ania sana kingereza waongee kiswahili tu ili waeleweke.
Mi naona MC Pilipili kajitahidi, zaidi ya dogo Pepe, mau na katarina
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.